mlidanganya tanzania mpya inakuja na umaskini unapungua lkn hkuna llote mara viwanda mwaka umeisha badala ya kuajili mnawaachisha. mliahd hakuna mwanafunz atakae kosa mkopo sasa ni shda du kumbe pushap zile zlikua kuongeza nguvu za ki**me
du sijui umeenda shule gani. embe ni chakula kwa misingi ipi. embe ni tunda na hutumika kama kirutubisho tu katika mwili na hata ule vipi embe haikai tumboni ili kukuletea nguvu kama wanga ndugu kasome darasa la nne utaambiwa tofauti kati ya matunda na vyakula
WANACCM wenye akili wamchoka Pombe? Waanza kufunguka hadharani[emoji116][emoji116]
....Shikamoo Kilimba
WANACCM TUNA NAFASI YA KUMSHAURI MKUU , TUFANYE HIVYO KWA FAIDA YA CHAMA NA TAIFA LETU.
Ndugu wanaCCM wenzangu kwa unyenyekevu na upendo mkubwa nawasalimu sana hongereni kwa majukumu ya...
unaposikia kitu kipya unaelewaje mana hata kinyesi kipo kipya .ujinga pia upo mpya udikteta ukifika pia n mpya. uhaba wa chakula ukiikumba tz piq n mpya sasa unaposema tz mpya uwe makini sana. rais hajakosea aliposema tz mpya inakuja ila watu hamkuelewa upya huo ni upi ila walioelewa waliukataa...
acha hzo m nilidhani kua hua ni kweli lkn hamna lolote. nmegundua mtu huyu anapenda sana kiki za kila siku mana utamuona akifanya vituko kama msanii fulani mara kala mgahawani, mala kabrashi viatu kupiga kengere mara msema kwel m mpnzi waungu. ila kiukweli kama unapewa mtu kanunua magazeti hiyo...
ukiona ndege sio n muhimu nikuulize kitu. wanao wakose ada wakae nyumbani wakitizama tv eti pesa yote umenunua snart phone halafu tukuone eti unaakili. sikatai ndege ni muhimu lkn angalia muhimu zaidi kupanga n kuchagua lkn unaweza kuchagua kibovu
kwani haiwezi kujenga mbona watu wanajenga ndio mana wanasema hatujengi majumba ya kifahari bali sehemu ya kuwasitiri watu wakati wakijipanga mbona hata hzo ndogo hazikutolewa
kwa unavyodhani ww tangu uhuru watu walikua hawafanyi kazi. acheni utoto kazi gani anazitaka yeye huwezi sema fanya kazi bila kusema kazi gani wakati akisisitiza kazi yeye anazuia ajira sasa sijui kazi gani anataka watu wafanye. kweli hapo kichwa cha ....zi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.