technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hiyo pesa inatosha kununua simenti mabati na vifaa vinginevyo.........Nyumba ya shilingi milioni nane inajengwaje mjini? Mnapenda sana kurahisisha mambo.
Sasa kama una vifaa unashindwaje kujenga Nyumba ndogo ya kukaa ..
Kuliko kulala nje.......