EDIBIL MJENJWA
Member
- Oct 30, 2016
- 60
- 36
WanaJF, mimi ni mwanafunzi wa chuo cha madini Dodoma. Japo nasomea mambo ya madini ila natamani sana kusaidia jamii na kutoa elimu juu ya mambo ya kijamii kama ukimwi, malaria, mazingira, ndoa za utoton nk.
Hivo nawaomba kama mtu ana kundi au taasisi yoyote inayojishughulisha na mambo kati ya hayo anitafute kwa 0768281337.
Hivo nawaomba kama mtu ana kundi au taasisi yoyote inayojishughulisha na mambo kati ya hayo anitafute kwa 0768281337.