Watu wa sai-kolo-jia,wanadai wanawake wana cheat xana kbla y kuolewa kw 7bu hawana uhakika nani atawaoa,na wanaume wana cheat xana baada ya kuoa wakiamini kwmba nyumbani kuna ulinzi ngoja waendelee kuonyesha ulijali wao kw wengine.
Waswahili(wahenga) cio wapumbavu hata kidogo. Wana-uzoefu mzito wa muda mrefu kuhusu masuala ya maisha.Walisema,fimbo ya mbali hai-ui nyoka. Ulivyoumbwa utavutiwa na kukitumia kile kilichokaribu yako.Matumiz y cmu na email yko limited kwny mambo fulani tu.Kwa 7bu unadai umechoka,mwambie...
ushauri cio kitu kibaya,ila cio lazima kuufuata.Kuacha kitu kw ghafla cio healthy,kila mtu anamazoea yake,cio rahisi kuacha ulichozoea hasa kw miaka kadhaa.Alikuwa wp cku zote? Au ali-assume wewe mpita njia tu?Kama umekunywa kw aka zaidi y cta,na kuacha utaacha kw aka kadhaa.The body z...
Ujue nn,kiushindani inabidi uanze kwa kufanana kidogo na mshindani wako bila kuvnj sheria.Ndio maana azam,azania.Kisaikolojia mteja atanunua yyte akiamini zinafanana kwa ubora.
Ni bahati sana kumpata mtu aliyekamilika,na nature inaonyesha hata ukimpata usumbufu utakuwa sehemu ya maisha yako. Hayo ndo matatizo ya kuonjaonja,uamuzi wa mwisho unao mwenyewe.
Yes,you are a real man. Naamini utapokea changamoto nyingi,km maswali, ya maana na ya kipuuzi. Utapokea ushauri pia. Bnfsi,nina taaluma nyngne,na pia nina kz. Namuomba Mungu, atusaidie, watu kama wewe waongezeke Tz.Pmj cna.
Wabongo lawama nyingi za nini? Mtu kakugea tetesi,kama kweli una shida zifanyie kazi. Kuna mambo mengine hayajawa wazi bado,yapokee hivyohivyo nyuma ya pazia yasipo kuwepo si basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.