Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 799
binti unataka pesa?! wewe jifanye umeingia line. andaa mdada mwenzio mwenye simu yenye camera safii. kisha panga appointment ya kukutana na huyo mchungaji mahali ambapo watu huenda kwa recreation. sasa wakati mmeketi labda mnakunywa juice..jifanye umepeenda. piga naye story na kumpa busu busu huku secretly mdada mwenzio akichukua photos. baada ya zoezi hilo hizo picha utazi-print na utampa huyo mchungaji copy ya hizo picha. kisha umwambie 'kuanzia leo makusanyo yote ya sadaka na mafungu ya kumi unayopata kanisani...nusu yake nipe mimi vinginevyo picha hizi ataziona mkeo au waumini wako wataziona kwenye magazeti'!
haaaa...teeteeh...pesaa..pesaa!
haaaa...teeteeh...pesaa..pesaa!