If women are not trustful, where is the man to be trusted?????? Most of the time, women are blamed for not being trustful. But as far as I know, Wanaume wamewasaliti wanawake, kama jinsi wanawake wanavyo wasaliti wanaume. Nani amefanya research na kuja na jibu sahihi, ni asilimia ya wanawake wangapi wanasaliti wanaume, na asilimia ya wanaume wangapi wanasaliti wanawake, ili tuje na jibu sahihi na la ki-sayansi kuwa "Never trust women". The knife may be a surprise as the flower. Tusihukumu sana, kwa kuwa tutahukumiwa.
Alikuwa Mchagga, kama sikukoseakwani na yule m-south alikuwa 'ke'?
Kila mwanamke aliposhikwa, alishikwa na mwanaume. Hivyo idadi ya wanawake walioshikwa, ni sawa na wanaume walioshikwa. (unless mwanamke ali-cheat na mwanamke mwanzake). Kutokana na Idadi ya wanawake kuwa wengi (rejea sensa), unapotafuta asilimia ya wanaume wanaocheat itakuwa kubwa Ki-asilimia, ukilinganisha na wanawake. Hivyo ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya wanaume si waaminifu katika ndoa zao, ukilinganisha na wanawake ki asilimia. Ingawa ki-idadi, wanaume wanaotoka nje ya ndoa ni sawa na wanawake waliotoka nje ya ndoa. (Unless homosexual is practiced)Unacho ongea ni sahihi... Mi naona ngoma droo ila nyie wanawake mnagundulika mapema... Man anaweza kaa kwenye mahusiano ata miaka mi4 na anacheat kama kawa ila hagunduliki na mpenzi wake.. sasa binti ile emecheat tuu kwa mara ya kwanza anashikwa.. Tafuteni ujanja bana kama sisi..
hahaa ingekuwa ni wewe?
Usaliti wa picha kama hiyo kwa w/ume sijawahi kusikia labda kwa w/ke ndo hutokea mara nyingi sana.If women are not trustful, where is the man to be trusted?????? Most of the time, women are blamed for not being trustful. But as far as I know, Wanaume wamewasaliti wanawake, kama jinsi wanawake wanavyo wasaliti wanaume. Nani amefanya research na kuja na jibu sahihi, ni asilimia ya wanawake wangapi wanasaliti wanaume, na asilimia ya wanaume wangapi wanasaliti wanawake, ili tuje na jibu sahihi na la ki-sayansi kuwa "Never trust women". The knife may be a surprise as the flower. Tusihukumu sana, kwa kuwa tutahukumiwa.
Watu wa sai-kolo-jia,wanadai wanawake wana cheat xana kbla y kuolewa kw 7bu hawana uhakika nani atawaoa,na wanaume wana cheat xana baada ya kuoa wakiamini kwmba nyumbani kuna ulinzi ngoja waendelee kuonyesha ulijali wao kw wengine.Unacho ongea ni sahihi... Mi naona ngoma droo ila nyie wanawake mnagundulika mapema... Man anaweza kaa kwenye mahusiano ata miaka mi4 na anacheat kama kawa ila hagunduliki na mpenzi wake.. sasa binti ile emecheat tuu kwa mara ya kwanza anashikwa.. Tafuteni ujanja bana kama sisi..
Duh, mkuu nimependa analysis yako, very academic. You must be geniusKila mwanamke aliposhikwa, alishikwa na mwanaume. Hivyo idadi ya wanawake walioshikwa, ni sawa na wanaume walioshikwa. (unless mwanamke ali-cheat na mwanamke mwanzake). Kutokana na Idadi ya wanawake kuwa wengi (rejea sensa), unapotafuta asilimia ya wanaume wanaocheat itakuwa kubwa Ki-asilimia, ukilinganisha na wanawake. Hivyo ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya wanaume si waaminifu katika ndoa zao, ukilinganisha na wanawake ki asilimia. Ingawa ki-idadi, wanaume wanaotoka nje ya ndoa ni sawa na wanawake waliotoka nje ya ndoa. (Unless homosexual is practiced)
Unacho ongea ni sahihi... Mi naona ngoma droo ila nyie wanawake mnagundulika mapema... Man anaweza kaa kwenye mahusiano ata miaka mi4 na anacheat kama kawa ila hagunduliki na mpenzi wake.. sasa binti ile emecheat tuu kwa mara ya kwanza anashikwa.. Tafuteni ujanja bana kama sisi..