Daladala zaenguliwa D'Salaam

Daladala zaenguliwa D'Salaam

Hawawezi na hawataweza kuweka hayo mabasi njia zote,daladala bado zinaitajika sana
 
Bora, manake kuna madaladala hayana madirisha, mnapanda humo utadhani upo kwenye thermos.

Tuombe tu Mungu isiwe kama ilivyo mipango mingine ya nchi hii
 
Hiki ni kpnd cha mpito(transition period),tuvumilie kije,by mwakani tuta-settle tu.Wahusika wasichoke kupokea ushauri na maoni.Mungu ibariki TZ.
 
Haya! wenye daladala 1moja turudie kazi zetu za zamani,wezi,wastaafu jeshini,polisi,serikalini nk.biashara ya daladala sahau,fikiria kitu kingine au rudia ajira yako ya zamani,bakheresa yeye ameshaagiza bus zake mia...hakuna mswahili atabaki...tusubiri tuone..nchi ina wenyewe jamani!!!
 
Hawawezi na hawataweza kuweka hayo mabasi njia zote,daladala bado zinaitajika sana

Ukiona hivyo,ujue kuna fisadi mmoja kachukua hela alizoficha uswis anakuja kuanzisha mradi huo! Poleni mnaoganga njaa wenzangu!
 
Back
Top Bottom