Labda nianze kwa kukuuliza swali, je hapo awali alikua ana kupigia pigia au amebadilika alipoenda huko!? Mda mwingine unaweza kuwaza negative kumbe ndo life style yake wako ambao hawapendi kuchat wanapenda kuongea na wapo ambao hawapend kuongea wanapenda kuchat so before you judge him jarib...
Em tumen na pics za mwili wake akiwa amejinyona... Haya mambo nimezoea kuona kwny movie zaa ki nigeria kumbe hata tz yapo??. [emoji34][emoji34][emoji34]
..Kila binadamu ameumbwa na kiu ya kufanikiwa katika kila kitu anachofanya. Mafanikio ndio kilele cha mlima mkubwa wa maisha ambao umejengwa kwa misingi na ngazi za mihangaiko na mitihani ambayo unapaswa kuivuka ili upumzike kwenye kilele hicho.
Kwa bahati mbaya, unaposema ‘mafanikio’ wengi...
1. Mtumiaji
Kuna aina ya wanawake ambao wanakuona wewe kama mwanamume mzuri ili wakutumie kama chambo kuwafanikisha kimaisha. Unaweza kuwa mwanamume ambaye unauunganishi na watu wengi, ama unaweza kuwa mwanamume ambaye unapendwa na wengi. Mwanamke aina hii ataona kuwa akiwa karibu na wewe...
Hii pia ni sehem ya kazi yangu... Kuhabarisha na kuelimisha jamii... Si wote walikua wanajua hayo?? Sasa kama mm nimepata habar nzur why nisi share??? Income its not abt the money only even blessings iz an income [emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
1. Siku zote ana pesa za kununua vocha na kuweka vifurushi, ana pesa za kununua nguo lakini hana pesa za kununua kitabu kitakachomuongezea maarifa.
2. Siku zote ana muda wa kuchart watsapp, kuangalia movie, kusoma magazeti na kupiga stori za mpira ama za wasanii lakini hana muda wa kusoma...
BEN PAUL: Bernad Paul ndilo jina alilopewa na wazazi wake. Huyu ni mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva na nyimbo nyingi anazoimba na uimbaji wake ni mzuri lakini imekuwa ni vigumu kutoboa kimataifa pia kwa Bongo tuzo nazo zimekuwa zikimpitia mbali. Ben Pol ametamba na ngoma kali kama jikubali...
KUTATULIWA MATATIZO
Wanawake wengi hutegemea kuwa wanapokuwa na wapenzi watasaidiwa katika matatizo ya kimaisha na migogoro ya kimawazo. Kwa mfano ushauri juu ya maisha yao, kulindwa na hatari za kimaisha, kusaidiwa katika shida na kuongozwa pale wanapohisi kushindwa kufanya jambo. Kama mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.