Unajua sikuzote mwanaume ndani ni chachu ya maendeleo. Ukigundua tu anamtazamo wa kindugu na kutokusikiliza mawazo ya mke,Mwanamke itabidi ajipange upya katka kuleta maendeleo binafsi. Isije tokea mume kafariki kumbe mali kaandika majina ya ndugu zake na watoto wakawa hawawma kitu.
Hakuna kitu wanandoa wengi tunakosea kama kuchanganya ndoa na ndugu zako. Kwa maana kwamba kuona ndugu zako ni muhimu kuliko mkeo au mumeo. Sio kwamba hawatakiwi kuwa muhimu ila mwenzio wako ni muhimu zaidi maana anakujua vilivyo. Inashangaza kuona mume anapelekeshwa na mawazo ya ndugu au mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.