Unaumwa wewe😂😂, tumefunzwa kuwa watulivu hata kama tuna shida, kwa kweli hapa walijitahidi, kwanza ukiona mmoja kachapwa risasi hakuna mtanzania hata mmoja atabaki mtaani😂😂😂
Mbona kumuombea kiongozi ni jambo la kawaida! Ni kwa vile watu wanataka kama wanamchukia makonda, basi watu wote wamchukie. Huyo Kiongozi na mwenzie wa Arusha yaani Pastor Lekundayo walialikwa na Makonda kwenda kufanya maombi pamoja.
Leo nitachangia kidogo sana kupitia mpango wa maendeleo ambao watu wengi wanaweza kuuona kuwa ni wa ajabu sana.
Nianze kwa kuuliza swali, inatufaidia nini kuwa na mbuga nyingi zinazoingiza kidogo sana kwenye pato la taifa ikiwa watu wake wana shida ya maji, afya na barabara huko vijijini...
Ni miaka mingi sana imefika Tangu taifa letu lipate uhuru toka likiitwa Tanganyika na leo ni Tanzania baada ya kuunganisha jamhuri ya watu wa Zanzibar na Jamhuri ya watu wa Tanganyika.
Kumekuwa na mipango mingi sana tangu mwaka 1964 ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Tanzania.
Kwa kiasi...
Niliona BBC Swahili wameandika kichwa cha habari kwamba "kikosi cha Gambia kingefariki" walipokuwa wakieelekea Afcon, je hapa hili neno limetumika ipasavyo? Hapa wanamaanisha kikosi kina moyo?
Nenda Jordan, chuo hiki ni chuo ambacho watu wengi hawajui tu lakini ukweli ni kwamba, ni moja ya vyuo vinavyotoa elimu bora nchini. Hawana mbambamba kama vyuo vingine, kwanza madarasa yana watu wachache wmbao walimu wana uwezo wa kuyamudu.
Wewe fuatilia tu wanafunzi wachache tu waliosoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.