Tumia OMGrace Black Castor Oil ni kiboko kwa ukuzaji na utunzaji wa nywele,kama unasumbuliwa na mba na miwasho baada ya kusuka pia ni suluhisho lako.
ukinunua utapokea na karatasi ya maelekezo kwa ajili ya matumizi sahihi.
Inapatikana kwa Tshs. 15000/=
Delivery Dsm na Mwanza ni 3000/= hadi...
Ili biashara yako iwe na muonekano thabiti unahitaji kuwa na akaunti za biashara,wajasiriamali wengi ,wanachanganya biashara zao na maisha yao,akaunti ya biashara hiyo hiyo inatumika kwa mambo binafsi hilo ni kosa unahitaji kuwa na akaunti maalum kwa ajili ya biashara yako akaunti ambayo...
Tunatoa huduma ya kutangaza matangazo ya biashara na brand mtandaoni ambapo tuna aina 2 za kutangaza. -
Human factor na Machine Factor
Ukitumia human factor hii ni huduma inayojumuisha matumizi ya biandamu sana kukufanyia update na pia kucomment kulingana na aina ya swali na post,hii...
Unabidhaa yako leo na unataka kuitengenezea munekano bora zaidi? suluhisho lako kwa sasa ni Branding Product Package,Kifurushi cha bidhaa ambacho kinakupa vitu muhimu na vya msingi katika utengenezaji wa bidhaa yako.
Katika promosheni hii upande wa bidhaa kuna chaguzi 2.
1. Logo 2 na Sticker 1...
Anahitajika mtu mwenye uelewa mzuri wa Graphics designing.
Vigezo:
Awe anajua kutumia vizuri software za designing.
Uzoefu:
Sio chini ya miezi 6.
Jinsi ya kutuma maombi:
Tuma Cv pamoja na portofolio kwenda email: aplication244@gmail.com
Mwisho wa kutuma maombi: 18/07/2017.
Haya mambo huwa yanasumbua sana ila cha kufanya nafikiri ni bora ufuate ushauri wa wazazi, dogo aondoke wewe umsamehe mmeo maana hili tatizo liko karibu sana na wewe aliepata mimba ni mdogo wako na aliempa mimba ni mme wako wa ndoa, suluhisho sio kuikimbia ndoa maana hata ukiikimbia mdogo ako...
Nembo ndio utambulisho wa biashara yako karibu Legacy upate Nembo inayoendana na Hadhi ya biashara yako. Piga sasa 0713603699 au info@legacytz.com kwa maelezo zaidi. Legacy Impresion Company au Legacy Impresion
Tunapatikana kijitonyama Dar es salaam na tunapokea hata kazi kutokea mikoa mingine...
Naona kama hili limechukuliwa vibaya kuweka rangi nyeusi haukuwa ubaguzi ila ilikuwa ndio ukweli wenyewe wa watanzania kwani sisi weupe? Hata wahindi wakikaa kwa muda mrefu wanakuwa weusi sijaona kibaya katika hilo ila sema fikra ndio zimeanza kuwa mbaya fikra ndio zinajibagua ila sio rangi.
Mbona watu mnatoka kwenye mada nimeisikiliza audio ya Gwajima hajataja suala la ukiristo au uislam ila amesema kujenga msikiti kwenye ofisi ya serikali sio sawa wakristo watoke waende makanisani na waislam watoke waende msikitini,akimaanisha usawa uwepo ndani ya nchi kwa kuwa nchi hii haina...
Habari zinakanganya sana na ukweli ni kwamba Watanzania ni waoga hata bila kushuhudia watu wamekimbia sana,wamejiumiza sana bila sababu ukiuliza eti panya road wanakuja,wako wapi atakwambia wako huko we kimbia kujiokoa nafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.