Recent content by Easy Chair Mark III

  1. Easy Chair Mark III

    Huu ni mwaka wa tatu sasa hataki kuondoka na kila siku ni visa, nifanyaje ili aondoke?

    Hapo kwako alikuwa KWA utaratibu gani mpaka we anaishi hapo KWA kipindi cha miaka 3???
  2. Easy Chair Mark III

    Kumekucha tena: Mgogoro Tanzania na Malawi waibuka upya

    Kama wanataka kuchimba mafuta kwenye hilo ziwa wachimbe tu Lakini ktk upande wao WA ziwa , wasiingie NA upande WA Tz
  3. Easy Chair Mark III

    Kumekucha Tanzania: Barrick na Serikali ya Tanzania waunda Kampuni ya Madini

    Serikali tayari ilishajitoa kwenye masuala ya kufanya biashara NA kuruhusu soko huria, yenyewe ibaki ktk kukusanya kodi tu.Nashangaa KWA sasa Serikali hiyo hiyo inarudi tena Kuna kufanya biashara kupitia mlango WA nyuma.
  4. Easy Chair Mark III

    Msaada: Nitajuaje kama hii Samsang ni copy?

    Kuna njia nyingi sana za kuthibitisha uhalali au uhalisia (originality or genuinity) WA simu ya Samsung, KWA kutumia Security Codes, SMS, IMEI or Serial number check up, physical appearance ya simu yenyewe, n.k, n.k, n.k.
  5. Easy Chair Mark III

    Yaliyotokea kwa DC na DED wa Malinyi yatufumbue macho sasa

    Wote DED NA DC Ni makada wa CCM, KWA Tz ya sasa hatuhitaji makada WA vyama vya Siasa wawe Viongozi huko Serikalini
  6. Easy Chair Mark III

    Nitajuaje simu yangu wanaitrack?

    Ukitumia kifaa chochote kile cha ki-electronic ambacho kinatumia smart technology ujue kwamba upo uchi WA mnyama muda wote, hivyo basi unatakiwa uwe makini sana KWA sababu uwezekano wa kudukuliwa privacy yako ni !mkubwa sana kupita kiasi. Kuna kisa cha kusikitisha sana ambacho kimemkumba "mkubwa...
  7. Easy Chair Mark III

    Msaada: Nitajuaje kama kuna mtu anasoma meseji zangu za whatsapp?

    Uwongo, text message zozote za Kwenye simu yako zinaweza kusomwa NA third party person. Teknolojia imekuwa sana sasa hivi
  8. Easy Chair Mark III

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Inaonekana pesa zilizorudishwa NA "wahujumu uchumi" tayari zimeshapigwa "alamba, alamba tena!! Aamu, aamu!!" : ya Mfalme Yusuf WA Jahazi Modern taarabu.
  9. Easy Chair Mark III

    Mimi binti, natafuta mwenza aliye serious

    KWA nini unamfanyia masihara Dada WA watu wakati mwenzio yupo serious anatafuta mwenza???!!!???
  10. Easy Chair Mark III

    Mimi binti, natafuta mwenza aliye serious

    Umri huo KWA mtoto wa kike amekuwa kachelewa sana kufanya maamuzi sahihi KWA wakati muafaka. KWA mwanaume hakuna shida kwani anaweza kuoa hata binti WA miaka 20 wakati yeye mume akiwa hata NA umri WA miaka 50!
  11. Easy Chair Mark III

    Mimi binti, natafuta mwenza aliye serious

    Ni kweli kabisa kuwa comments za wadau hapa zinahuzunisha.Lakini chanzo cha matatizo hayo yote Ni wao wenyewe Dada zetu.Wanapokuwa kwente umri mzuri wa kuolewa wanakuwa hawasikii ushauri WA MTU yeyote yule, wanakuwa hawajitunzi wala hawajui kusoma alama za nyakati NA matokeo yake wanakuja...
  12. Easy Chair Mark III

    Haya ni majukumu ya Usalama wa Taifa wawapo kazini

    CIA wamekuwa wakifanya mauaji ya watu ambao KWA hakika Ni kitisho KWA Usalama WA watu WA USA NA ili Kulinda Maslahi mapana ya nchi NA wananchi wengi zaidi wasio na hatia WA nchi hiyo. Kamwe CIA haifanyi mauaji KWA watu ambao Ni wakosoaji wa Kisiasa WA Rais wa nchi hiyo au wapinzani WA Serikali...
  13. Easy Chair Mark III

    DED wa Mtama na Mkurugenzi wa umwagiliaji wamkimbia Waziri mkuu na kuzima simu, mh Majaliwa awataka kuripoti Dsm kesho asubuhi

    Unajidanganya bure, suluhisho Sahihi juu ya matatizo kama haya Ni kuweka mfumo imara NA Taasisi imara ambazo zinawajibika ipasavyo KWA muda/wakati wote, bila upendeleo, hicho kinachofanyika sasa ni maigizo ya "one man show".
Back
Top Bottom