Nitajuaje simu yangu wanaitrack?

Nitajuaje simu yangu wanaitrack?

Ukiweka uzi ni kwa ajili ya wengine pia.
mzee utrakiwe una potential gani kwa hiyo kampuni ya simu au serikali? shida watu mnapenda ku over think mambo aisee kha, au kama unaongelea kutrakiwa na mpenzi wako basi uza hiyo simu ununue nyingine
 
mzee utrakiwe una potential gani kwa hiyo kampuni ya simu au serikali? shida watu mnapenda ku over think mambo aisee kha, au kama unaongelea kutrakiwa na mpenzi wako basi uza hiyo simu ununue nyingine

You have a very short sight vision, hivyo unavyofikiri akilini mwako sivyo uhalisia ulivyo.
Kuna mambo kadhaa ambayo yamewahi kuwakumba watu bila kutarajia ingawaje WA husika walikuwa na fikra kama hizo ulizonazo wewe.

Take care my friend, "always you have to dance carefully like EVERYONE is watching you".
 
You have a very short sight vision, hivyo unavyofikiri akilini mwako sivyo uhalisia ulivyo.
Kuna mambo kadhaa ambayo yamewahi kuwakumba watu bila kutarajia ingawaje WA husika walikuwa na fikra kama hizo ulizonazo wewe.

Take care my friend, "always you have to dance carefully like EVERYONE is watching you".
.
770960503.jpeg
 
Ukihisi una trakiwa fanya ku reboot simu ili ifute settings zote na kumpoteza maboya tracker wako. Unaanza upya tena
 
Tumia wifi ya ofisini kwako epuka kuweka line ya simu katika smartphone yako unayoitumia

badilisha imei number alafu ukitaka ku browse jaribu kutumia vpn za nje

Halafu kama wasiwasi wa kuwa hacked upo kwenye apps zako za social, jaribu kuweka strong pasword. Kuna vi spy apps vina generate password na victim ambao wako hatarini zaidi ni wale wanaotumia miaka yao au majina kama password. Jaribu ku mix alama kama hizi katika password zako. @=!?'"/π€¥α⤣¢%&√
 
Tumia wifi ya ofisini kwako epuka kuweka line ya simu katika smartphone yako unayoitumia

badilisha imei number alafu ukitaka ku browse jaribu kutumia vpn za nje

Halafu kama wasiwasi wa kuwa hacked upo kwenye apps zako za social, jaribu kuweka strong pasword. Kuna vi spy apps vina generate password na victim ambao wako hatarini zaidi ni wale wanaotumia miaka yao au majina kama password. Jaribu ku mix alama kama hizi katika password zako. @=!?'"/π€¥α⤣¢%&√

Hacking and been spied technologically is a very huge matter and the most complicated issue in a cyber security nowadays.
 
Ni ngumu kutambua ila inawezekana. Jus kno they are always watching you , better be prepared!.
 
Wi-Fi ya ofisi si ndio mbaya zaidi?
Tumia wifi ya ofisini kwako epuka kuweka line ya simu katika smartphone yako unayoitumia

badilisha imei number alafu ukitaka ku browse jaribu kutumia vpn za nje

Halafu kama wasiwasi wa kuwa hacked upo kwenye apps zako za social, jaribu kuweka strong pasword. Kuna vi spy apps vina generate password na victim ambao wako hatarini zaidi ni wale wanaotumia miaka yao au majina kama password. Jaribu ku mix alama kama hizi katika password zako. @=!?'"/π€¥α⤣¢%&√
 
Wi-Fi ya ofisi si ndio mbaya zaidi?
Wifi ina access za line ya campuni, hivyo mdukuzi hawezi kujua kwa hakika kama ni wewe kwasababu inatumiwa na wengi kwa jina moja hilo hilo

Halafu unaweza kubadili na ile ip adress ili kua secured vizuri
 
Solution ni kutokaa mda mrefu bila ku restore simu, inabidi at least kila baada ya mwezi unafanya back up then una restore simu, hii itasaidia kama unahisi kuna jambo linaendelea
 
badilisha imei number.

Pia jaribu kuweka strong pasword. Mfano @=!?'"/π€¥α⤣¢%&√
Haha mkuu hilo li pasword ni baba lao. Makorokocho kama hayo ukiyaweka utayakumbuka kweli..😂

Vipi IMEI wanabadilishaje mkuu..
 
Serikali ikikutrack kwa kutumia mitandao ya simu ni almost impossible kujua

Ila hawa wahuni wa online wanaoweka spyware kwenye simu inawezekana kuwagundua cha muhimu tu uwe na uelewa wa kijumla wa simu.

Unaweza ukatumia apps zinazodaka data zote zinazoingia na kutoka kwenye simu kama vile packet capture (ipo playstore), hio app itakuonesha kila app ndani ya simu imetumia data kiasi fulani kwa muda fulani ni adress gani ime request hizo data kiasi gani zimetoka, kiasi gani zimeingia etc sema kuzifanyia analysis itahitaji angalau uwe na basics za mambo ya simu.

Ama kitaalamu zaidi unaweza tumia wifi/vpn na analysis ukaifanyia kwenye computer,ila ufanyaji kazi ni kama hapo juu.
 
Absolutely.

Ili kuepuka kuwa ktk risk kubwa zaidi ya kudukuliwa Ni vyema kuepuka matumizi yasiyokuwa ya lazima, au matumizi mabaya kuhusiana na vifaa vya ki-electronic vinavyotumia "smart technology", e.g.smartphone, smart TV, laptops, desktop, etc.

Pia, pendelea zaidi kutumia simu za jamii ya CELLPHONES, usitumie simu za jamii ya Smart phones,na PDA (personal digital assistant) kwani KWA kutumia Smart phone na PDA risk ya kudukuliwa kirahisi zaidi ni kubwa sana kupita kiasi.
With strong encryption smartphone inaweza kuwa salama zaidi.
 
Pana mida kahuawei kangu kanapata moto kwahyo huenda majajusi wananifatilia Eeh ngoja niweke GPS off pia
 
With strong encryption smartphone inaweza kuwa salama zaidi.
Ukitumia kifaa chochote kile cha ki-electronic ambacho kinatumia smart technology ujue kwamba upo uchi WA mnyama muda wote, hivyo basi unatakiwa uwe makini sana KWA sababu uwezekano wa kudukuliwa privacy yako ni !mkubwa sana kupita kiasi.
Kuna kisa cha kusikitisha sana ambacho kimemkumba "mkubwa mmoja wa Serikalini" kwenye hii nchi nilipo hivi sasa, fukuto LA chini chini kuhusiana na huo mkasa Ni kubwa sana. Ni kashfa nzito sana, NA Serikali ya nchi hii inajitahidi kuizima kashfa hiyo KWA nguvu zake zote.Kiini cha hiyo kashfa Ni udukuzi
 
Haha mkuu hilo li pasword ni baba lao. Makorokocho kama hayo ukiyaweka utayakumbuka kweli..

Vipi IMEI wanabadilishaje mkuu..
Mkuu password imara inatakiwa iwe na at least character 9+ ila kiusalama zaidi. Halafu unamix helufi ndogo na kubwa katikati pia na space pamoja na hiyo mi alama

Halafu ishu ya imei kubadilisha kisheria ni kosa ila kama simu yako ni mtk unaweza kujaribu kitumia mtk engineering mode kutoka playstore
 
Ili kujua kama simu yako ipo hacked press #____*
Hapo kuna secret code za kuopen program hisika ambayo hufanya udukuzi wa kila ukifanyacho kwenye simu yako.
Bahati mbaya huwezi itoa hii program na huwezi ijua kwa kukagua apps kwenye simu kwa maana inakuja kama administrator app
 
Ukitumia kifaa chochote kile cha ki-electronic ambacho kinatumia smart technology ujue kwamba upo uchi WA mnyama muda wote, hivyo basi unatakiwa uwe makini sana KWA sababu uwezekano wa kudukuliwa privacy yako ni !mkubwa sana kupita kiasi.
Kuna kisa cha kusikitisha sana ambacho kimemkumba "mkubwa mmoja wa Serikalini" kwenye hii nchi nilipo hivi sasa, fukuto LA chini chini kuhusiana na huo mkasa Ni kubwa sana. Ni kashfa nzito sana, NA Serikali ya nchi hii inajitahidi kuizima kashfa hiyo KWA nguvu zake zote.Kiini cha hiyo kashfa Ni udukuzi
Inategemea na situation, kuna situation isp wako ndie anaekudukua, ukiwa na kifaa ambacho sio smart huwezi kujilinda na hapa ndio unakuwa uchi, ila ukiwa na kifaa ambacho ni smart unaweza tumia tor ama vpn/proxies na kuwa anonymous.
 
Back
Top Bottom