Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Duuh! Ajiiteje sasa?Sasa mtu kabakiza miaka kadhaa tu aingie menopause halafu anajiita binti si kuwatukana mabinti ?
Alikoma kuitwa binti alipovuka 25 ahamie kwenye rika lake.
Duuh! Ajiiteje sasa?Sasa mtu kabakiza miaka kadhaa tu aingie menopause halafu anajiita binti si kuwatukana mabinti ?
Alikoma kuitwa binti alipovuka 25 ahamie kwenye rika lake.
Hana mtoto lakini? Haya bana Mkuu naimani mleta uzi kakuelewa.Ajiite mama tu uzee wote huo anabana nafasi za maingizo mapya
Mimi bint4 natafuta mwenza aliye serious.. Tuyajenge maisha
Sifa zangu
Umri miaka 34
Elimu kidato cha
Sina mtoto
Sifa za nimtafutae
Awe na miaka 34-45
Muelewa mwenye hofu ya MUNGU awe mkristo mwenye shuguli yakumuingizia kipato, aliye tayali na maisha ya ndoa.
Kama unasifa izo njoo pm tuzungumze
Comments za wachangiaji zinahuzunisha sana.
Pole dada wa watu.
Kwani huyu dada unamfahamu mkuu?Ni kweli kabisa kuwa comments za wadau hapa zinahuzunisha.Lakini chanzo cha matatizo hayo yote Ni wao wenyewe Dada zetu.Wanapokuwa kwente umri mzuri wa kuolewa wanakuwa hawasikii ushauri WA MTU yeyote yule, wanakuwa hawajitunzi wala hawajui kusoma alama za nyakati NA matokeo yake wanakuja kujutia nafsi zao kama hivi.
Pole yake, kwani anavuna matunda ya kile alichopanda.
Umri huo KWA mtoto wa kike amekuwa kachelewa sana kufanya maamuzi sahihi KWA wakati muafaka. KWA mwanaume hakuna shida kwani anaweza kuoa hata binti WA miaka 20 wakati yeye mume akiwa hata NA umri WA miaka 50!34?? Duuuh....ishakuwa jion ..hapo labda utapata single father
KWA nini unamfanyia masihara Dada WA watu wakati mwenzio yupo serious anatafuta mwenza???!!!???Dada ukihitaji under 28 yrs ni PM..hata ukitaka ndoa ya Mahakamani tunaenda...kuhusu kipato..sina nina kibsmia faceles...
Ila ninamiliki Account 6 za JF, 4 za FB,2 za IG na 1 ya Tinder..
Ukinihitaji ni PM