Kwangu mm wema sioni ktu cha kuhamasisha watu mpaka wahame chama ila tu naungana na ww mheshimiwa kuwa wema anasifika kwa matukio na siyo kwa kushawish watu kuhama chama.
Mm hili cwezi nikajipa matumaini ila ninaasilimia hache zankuwapa chadema ila mm ninachoona JPM ataendelea kushikilia nchi bt chaxema wataongeza viti bungeni
Hahahahahahaaa!siasa mchezo mbaya sana kwan ww utajiweka kipau mbele kudai haki mwenzako ww ndo mtajiwako wakt huo yy anafanya mambo yake ya msingi.Huoni wengne tunao wategemea kupiga vta chama tawla kumbe wana kadi za vyama 2 tofaut jamanii Wtanzania twafaaaa
Ulijuwaje ss watanzania kufanya kazi mpaka watu bust mm naona hvjv kamba isilegezwe [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.