Recent content by Dwmostration

  1. Dwmostration

    Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

    Zpo hata za chini ya hyo 600k
  2. Dwmostration

    CHADEMA hatuna mgombea Urais 2020, tukitaka kuvuka salama, ZITTO KABWE ndio mtaji wetu

    Hahahahaaa.....mpaka hapo mm cjakusoma unafagilia magifuli au ACT wazalendo?
  3. Dwmostration

    Ni kampuni gani hii iliyotoa faragha za Steve na Mama Wema?

    Mmi naona ambaye anastagilinkuulizwa ni mama wema koz ile kaifanya kwa Advantage yake yeye kutokana na tuhuma zilizopo juu ya mwanae
  4. Dwmostration

    Madhara makubwa watakayopata Chama Tawala baada ya msanii Wema kuhamia CHADEMA

    Kwangu mm wema sioni ktu cha kuhamasisha watu mpaka wahame chama ila tu naungana na ww mheshimiwa kuwa wema anasifika kwa matukio na siyo kwa kushawish watu kuhama chama.
  5. Dwmostration

    Wasichana/Wanawake waliowahi kuwatongoza wanaume njooni mshuhudie

    Mimi nikipata mwanamke wa kunitongoza cmwachi hyohyo na weka ndani kwani mwanamke akikupenda kapenda kwelikweli na so mwanamke ajue unampenda
  6. Dwmostration

    Masikitiko: CHADEMA pesa ya ruzuku ni kwa ajili ya nini? haitumiki kutibu viongozi?

    Hahahahaaaaaaaa!JF bhana inawatukweli????
  7. Dwmostration

    CCM Vs CHADEMA nani kutamba 2020??

    Mm hili cwezi nikajipa matumaini ila ninaasilimia hache zankuwapa chadema ila mm ninachoona JPM ataendelea kushikilia nchi bt chaxema wataongeza viti bungeni
  8. Dwmostration

    Nina ujauzito wa mume wa mtu, nifanyeje?

    Halafu mm huwa nashangaa mpaka unabebeshwa mimba na mme wamtu unafuraia nn wakat cx wanamme tupo tunao tafta wanawake wa kuoa mbona hamjitokezi?
  9. Dwmostration

    Umefikia muda kwa wapinzani kuungana na CCM, tumechoka kudanganywa

    Hahahahahahaaa!siasa mchezo mbaya sana kwan ww utajiweka kipau mbele kudai haki mwenzako ww ndo mtajiwako wakt huo yy anafanya mambo yake ya msingi.Huoni wengne tunao wategemea kupiga vta chama tawla kumbe wana kadi za vyama 2 tofaut jamanii Wtanzania twafaaaa
  10. Dwmostration

    Trump apewe nuclear codes

    Hili ni sahihi sheria zizingatiwe
  11. Dwmostration

    Watanzania ni walalamishi, wavivu, wanafiki na wapenda dezo. Magufuli endelea kutunyoosha

    Ulijuwaje ss watanzania kufanya kazi mpaka watu bust mm naona hvjv kamba isilegezwe [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Back
Top Bottom