Hata ukitoa mawazo hayawez kutekelezwa kwa maana wenye maslah yao watakupga vita. Ndo maana watu wanye mawazo mazur wakiwasilisha wanatupiliwa mbali kwa maslah ya wachache
N
Nimeipenda hii..tunashukuru sana kwa hii elim uliyotupatia....ninahitaji pia msaada juu ya sheria za kazi . mim ni mfanya kaz wa kampuni moja hvi la binafsi nina mieZ 8 kazin mpka sas.. Kweny hii kapuni kuna vitu vinaenda tofautkdgo kwa mfano mpka sas tunakatwa pesa za mofukovya hifadh ya...
uckte wameita hivo na kutaja kias hicho kwa kua weng tunapend kaz yeny mshahara mikubw. so ili wasipate usumbf kua na watu weng walioomb lakin sina iman kama mshahar ndo huo hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.