Ni kweli kwa sbb wakazi wengi wa mkoa huo mlibaatika kuwepo ndani ya serikari kwa mtaji huo mkavutana Ndani ya serikari na kufanikiwa kupiga mapesa mengi Sana na kwenda kuendekeza mikoa yenu.mfano NBC BANK maofisa wengi ni kutoka Kilimanjaro matokeo yake mmeyaona.ATCL wafanyakazi wengi wa...
Hilo neno maanake utamkuta mbunge ana maziwa hayo makuuubwa huku kichwani akili ya kufikiri ni kipi Cha kuongea na kipi so Cha kuongea kichwani hakuna, sijui hivi vyama vya siasa vinatumia vigezo gani kuwachagua.
Ukweli hata shetani kure Eden alimjuwa mwanaume kiakili akaona mwenye brain ndogo ni hawa na kweli akafanikiwa ndio chanzo cha matatizo duniani.hebu kumbuka Samson na derila nani mpuuzi km sio derila ambae ni mwanamke.rudia maandishi ishini kwa hakili na mwanamke kwa nini mungu amwambie mwanaume...
Upo wapi tuje kukuchukua tukuelekeze vizuri kazi unavyojuwa.upo maeneo gani.wala usiofu wewe ni mzarendo haswa umeguswa na usalama wa kiongozi wetu.tupe namba yako tuwasiliane au tukutafute?
Wewe ni mpumbavu kwa Nini utembee na mke wa mtu.ukizingatia ni dhambi na vilevile hunajuaje km mume wake anatumia doz au labda Dereva wa mafari ya kwenge congo.wanawake wapo kibao Tena wengine mbk wanapenda kwa waganga kutafuta wanaume wewe bd una angaika na mijike ya watu Acha ufara huo.
Kwanza mkuu wa mkoa katimiza adhabu hio mbele ya mwalimu mkuu. Na Kila mwanafunzi kachapwa viboko 4 na Haina ya fimbo hiliyotumika ni ya kawaida saana haifiki fimbo tukizokuwa tukichapwa sisi tuliokuwa tunasoma shule za seminal. Na ndio maana watoto wengi wa seminal wapo vizuri kichwani na ni...
Wangoni wasingestahili kuwepo hapo badala yake ungewaweka wakinga na wahehe.hakunaa kabira lenye kuongoza kuchukiana na kuoneana wivu na hata kusimangana Kama wangoni na ndio maana hapa darjspo waliwai kufika kabra hata mkinga lakini ni agharabu kuwakuta wangoni wapo pamoja kibiashara na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.