MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,480
Habari wadauu
Leo sio mada ila ni jambo shirikishii. Baada kumla mke mmoja ambaye ni wa mtu zaidi ya mara 3.
Hatimaye leo amenikazia anadaii tuka pime ngoma.
Yanii hapa nilipoo anatuma msg kama hana akili. Na kila nikikumbuka,joto la kusubiria,majibu ya UKIMWI nahisi siwezi himili.
Nikimalia kuandika hapa nazima na simu bora mahusiano yaishee mimi na yeye abaki na mme wake.
UPDATE.
Tumeenda hospital ya kwanza nimekuta imefungiwa haifanyi kazii tena nikapumuaaa.
Ameropoka twende nyingine nikasema sio kesii hapo moyoo unadundaa balaaa. Njia mzima sina raha, tukafikaa nyingine, bwana weeeee alieko reception nina mfahamu na ni mtu wa mazingira ya nyumbani.
Nikamwambia manzi kuwa siwezi pima huyu mama ananifahamú vizurii. Maana najua lazima angejiuliza maswali kuwa huyu si mke wa mtu.
Basi akasema tutaenda keshoo sehemu nyingine.
UPDATE
Leo kanikazia kwelii yanii hadi anaanza lawama.
Leo sio mada ila ni jambo shirikishii. Baada kumla mke mmoja ambaye ni wa mtu zaidi ya mara 3.
Hatimaye leo amenikazia anadaii tuka pime ngoma.
Yanii hapa nilipoo anatuma msg kama hana akili. Na kila nikikumbuka,joto la kusubiria,majibu ya UKIMWI nahisi siwezi himili.
Nikimalia kuandika hapa nazima na simu bora mahusiano yaishee mimi na yeye abaki na mme wake.
UPDATE.
Tumeenda hospital ya kwanza nimekuta imefungiwa haifanyi kazii tena nikapumuaaa.
Ameropoka twende nyingine nikasema sio kesii hapo moyoo unadundaa balaaa. Njia mzima sina raha, tukafikaa nyingine, bwana weeeee alieko reception nina mfahamu na ni mtu wa mazingira ya nyumbani.
Nikamwambia manzi kuwa siwezi pima huyu mama ananifahamú vizurii. Maana najua lazima angejiuliza maswali kuwa huyu si mke wa mtu.
Basi akasema tutaenda keshoo sehemu nyingine.
UPDATE
Leo kanikazia kwelii yanii hadi anaanza lawama.