Walinzi wa Kikwete wana silaha za kutosha?

Walinzi wa Kikwete wana silaha za kutosha?

Aisee maisha kweli Safari ndefu!

Si ajabu alioanzisha Uzi na wachangiaji wengi sasa hivi wameshatumbuliwa na vyeti feki na hata bando hawana.


Na mbaya zaidi wanamkumbuka JK waliomkashifu
 
...Spanish Cp umenivunja mbavu sana! Kwamba jamaa hawana silaha wamejaza karanga na maandazi tu mifukoni mwao... Hahahahaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
duh mzee wa rula naona uko jikoni....kumbe wanabeba mashin>>>>sasa kama yuko kwenye saloon car wanazihifadhi wapi? Kwenye buti?
Upo wapi tuje kukuchukua tukuelekeze vizuri kazi unavyojuwa.upo maeneo gani.wala usiofu wewe ni mzarendo haswa umeguswa na usalama wa kiongozi wetu.tupe namba yako tuwasiliane au tukutafute?
 
Back
Top Bottom