Kwenye nyekundu hivi wewe umeshindwa kuandika lugha elekeai isikuwa na matusi.
wewe ni mtu wa aina gani au umezaliwa nyumani nini?Tuwaeshimu wenzetu na kitabu chao tuache mambo yasiokuwa na maana
Jiangalie wewe ulivyazaliwa kwa tone la manii kukaa tumboni kwa mama yako mda wa miezi tisa...
Japo kuna kajiburudani kwenye hii mada lakini wadau tujaribu kutoa ushauri someni jamaa alivyoandika na inaelekea mda fulani alikuwa karibu na shemu wetu sasa utani mwengine tuwe makini
Mimi nakupongeza kwanza kumpata mwenye K mbili maana ukipiga ya juu ile ikianza kuchoka unamia ya chini...
Oya kama dalali mwenye uwakika mashine hii hapa nauza
iko njiani na mungu akipenda mda si mrefu itakuwa Tza narudia uwe na uwakika na kazi yako stor mbwembwe sitaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.