Nauza Lamborghin Gullardo

Nauza Lamborghin Gullardo

humu ndani kumbe kuna watu wana mambo....wanapenda ujiko.....dogo kaumbuliwa kakimbia.....
 
Ushauri wa bure:
Usibadiri ID kwasababu umekuwa maarufu mno! Kuwa supar star sio lazima ufanye makubwa hata ukionyesha ujinga wako tu.
 
jamani hivi JF imekuwa na watoto wengi kiasi hiki mpaka wanafanya hii michezo yao ya kitoto hapa. naomba apigwe ban tafadhali ili liwe fundisho na kwa wengine
 
OK Leta hapa moshi. EEE aaaah Account yako number wapi baba?
 
hamna biashara analeta burudani tu! asante kwa kutushtua moyo na kututengenezea wikend safiii!
 
Cc 6000, nimetumia 1 year and niya 2009 and bei ni 1.9 billion for more details email me on emilrama@gmail.com
Mkuu taratibu Mkuu wangu.

Worst case scenario una maana hiyo gari FoB ni kama $ 450,000.

Sasa hii si kweli sababu ya facts zifuatazo:

Hii ni $ 138,443 ya 2004

01.jpg



Hii ni $ 151,290 ya 2004
01.jpg


Hii ni $ 179,812 ya 2002



01w.jpg
 
KHA!! barabara ipi tunapita? sevisi wapi? vipi mafuta ya oilcom yanakubali?
 
Mkuu taratibu Mkuu wangu.

Worst case scenario una maana hiyo gari FoB ni kama $ 450,000.

Sasa hii si kweli sababu ya facts zifuatazo:

Hii ni $ 138,443 ya 2004
01.jpg



Hii ni $ 151,290 ya 2004
01.jpg


Hii ni $ 179,812 ya 2002



01w.jpg

aminia mkali, B.E.N.Z yetu bado iko?
 
Namba zake ni T....ARY alafu iwe ni model ya 2009 dah Sijui. Alafu wewe uliingiza mwaka gani?
ARY ni registration ya 2007 nafkiri. labda typing error atarudi ku-edit. but hongera kwa kutembelea gari la mabilioni na cc 6000.hiyo tu ni heshima!
 
Bwana mi nasoma mwaka wa 5 sasa kwenye Ferrari high school ya modena(italy) na kiwanda cha lamborghini hakiko mbali sana na mwaka jana nimefanya field pale na tunasoma kuhusu haya super car, hio sio gallardo sababu gallardo ya mwaka 2009 haina exhaust moja kati kati maximum hio inaweza kua lamborghini murcelago lakini sio gallardo. Halafu lamborghini hana model inayoitwa "gullardo", anatengeneza model kama gallardo, murcelago, diablo, miura, reventon, aventador, urraco. Hio inaweza kua ya kichina. Nenda kaangalie kwenye google na angalia picha za model ya lamborghini gallardo.

nikweli kaka zipo zakichina, kila kitu ni hicho hicho, si unajua wachina hawashindwi ki2.
 
Idumu JF!

We mtoto lini utakua? Hiyo namba T....ARY ni ya mwaka 2007, sasa gari ya 2009 imeipataje hiyo namba?
Halafu wadanganye tusiokuijua. Emil unasoma CBE, na kazi yako ya kuuza simu humu, unanunua blackberries kwa bei chee kisha unaziuza kwa bei ya juu kuidogo, kama unabisha au kuna mtu anabisha fungueni jina lake msome post zake... Kuna blackberry 9700 nilikuuzia pale mlimani city kwa laki2 na themanini, ukaja na post humu unaiuza laki nne kamili, na mbwembwe nyiiingi eti umetoka nayo UK uliinunua kwenye kampuni ya three, wakati hayo maelezo nilikupa mimi wakati nakuuzia..
Hii ni forum ya watu na akili zao, wengine wanaweza kuwa wazazi wako...

Grow up na uache hype zako za kishule shule...
Kwa utaalamu wangu wa adobe, naweza kuedit picha yeyote ile ikaonekana ni real na wasiojua wakaamini. Lakini, who am I fooling!!! MY SELF...WORDS TO YOU MDOGO WANGU. Usipobadilika sasa hii tabia itakucoist sana maishani...
Ungebadili kwanza I'd basi ili iwe ngumu kukutrack... We unakaa mbezi analogue halaf unawadanganya watu hapa unaendesha lamboghini...wakati unakuja kununua bb 9700 bold ulikuja na 5 5...
 
Gallardo ninavyoifahamu ni fupi kidogo from front to back,hiyo ndefu itakuwa jina lingine,pia inakuwaje ulinunua bei ndogo(uliyopigwa) alafu uuze bei mbaya hivyo?
Bwana mi nasoma mwaka wa 5 sasa kwenye Ferrari high school ya modena(italy) na kiwanda cha lamborghini hakiko mbali sana na mwaka jana nimefanya field pale na tunasoma kuhusu haya super car, hio sio gallardo sababu gallardo ya mwaka 2009 haina exhaust moja kati kati maximum hio inaweza kua lamborghini murcelago lakini sio gallardo. Halafu lamborghini hana model inayoitwa "gullardo", anatengeneza model kama gallardo, murcelago, diablo, miura, reventon, aventador, urraco. Hio inaweza kua ya kichina. Nenda kaangalie kwenye google na angalia picha za model ya lamborghini gallardo.
 
Hahahaa, hawa watoto wetu sku hizi wanatamani sana vitu vya kwenye tv, ndy maana mabwabwa wameongezeka! Wew unafkir mtoto kama huyu akikutana na mende anataka kumpiga mashine ampe hata vitz atakataa? hahahahaa:A S 13:

qaqa umenifurahisha sana, na kwa swali lako hawezi kukataa kupigwa miti huyo kisa vitz. Hahahaha.....
 
We mtoto lini utakua? Hiyo namba T....ARY ni ya mwaka 2007, sasa gari ya 2009 imeipataje hiyo namba?
Halafu wadanganye tusiokuijua. Emil unasoma CBE, na kazi yako ya kuuza simu humu, unanunua blackberries kwa bei chee kisha unaziuza kwa bei ya juu kuidogo, kama unabisha au kuna mtu anabisha fungueni jina lake msome post zake... Kuna blackberry 9700 nilikuuzia pale mlimani city kwa laki2 na themanini, ukaja na post humu unaiuza laki nne kamili, na mbwembwe nyiiingi eti umetoka nayo UK uliinunua kwenye kampuni ya three, wakati hayo maelezo nilikupa mimi wakati nakuuzia..
Hii ni forum ya watu na akili zao, wengine wanaweza kuwa wazazi wako...

Grow up na uache hype zako za kishule shule...
Kwa utaalamu wangu wa adobe, naweza kuedit picha yeyote ile ikaonekana ni real na wasiojua wakaamini. Lakini, who am I fooling!!! MY SELF...WORDS TO YOU MDOGO WANGU. Usipobadilika sasa hii tabia itakucoist sana maishani...
Ungebadili kwanza I'd basi ili iwe ngumu kukutrack... We unakaa mbezi analogue halaf unawadanganya watu hapa unaendesha lamboghini...wakati unakuja kununua bb 9700 bold ulikuja na 5 5...
Kumbe mnamjua.Au dalali
 
hummer1_1194586w.jpg Oya kama dalali mwenye uwakika mashine hii hapa nauza
iko njiani na mungu akipenda mda si mrefu itakuwa Tza narudia uwe na uwakika na kazi yako stor mbwembwe sitaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom