Baby boy born with qur an

Baby boy born with qur an

Status
Not open for further replies.
dah mimi ni mwislamu,lkn huu ni uwongo mkubwa kabisa,

watu wanatumia dini kupata umaarufu na pesa.


Ingekuwa maandishi mwilini sawa,lkn eti karratasi na nakshi za kava ya mbele.

Huu ujinga ulianzia kwanza kwa watu wa dini nyingine kwa njia za kutafuta pesa.

Sasa naona huyu jamaa anatafuta utajiri kwa kudanganya

ata kama kafanya hivyo ni mwislam,waislam ina bidi tusinyamaze,huu ni uwongo kupita kiasi
 
Duniani Kuna mambo! Uko wapi Ally Kombo?
" Nani dhalimu mkubwa kuliko yule anaye mzushia uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa wahyi (ufunuo/maono): hali hakuletewa wahyi wowote. Na yule anaye sema: Nitateremsha kama alivyo teremsha Mwenyezi Mungu. Na lau ungeli waona madhalimu wanavyo kuwa katika mahangaiko ya mauti, na Malaika wamewanyooshea mikono wakiwaambia: Zitoeni roho zenu ! Leo mtalipwa adhabu ya fedheha kwa sababu ya mliyokuwa mkiyasema juu ya Mwenyezi Mungu yasiyo ya haki, na mlivyokuwa mkizifanyia kiburi Ishara zake. Qur'an: 6:93
 
View attachment 54172

Mimi sikuwepo huko Nigeria, lakini nimeiangalia hiyo picha nikagundua kwamba hiyo huenda isiwe Quran, bali kiberiti kama vinavyotengenezwa na Kibo match.

 
" Nani dhalimu mkubwa kuliko yule anaye mzushia uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa wahyi (ufunuo/maono): hali hakuletewa wahyi wowote. Na yule anaye sema: Nitateremsha kama alivyo teremsha Mwenyezi Mungu. Na lau ungeli waona madhalimu wanavyo kuwa katika mahangaiko ya mauti, na Malaika wamewanyooshea mikono wakiwaambia: Zitoeni roho zenu ! Leo mtalipwa adhabu ya fedheha kwa sababu ya mliyokuwa mkiyasema juu ya Mwenyezi Mungu yasiyo ya haki, na mlivyokuwa mkizifanyia kiburi Ishara zake. Qur'an: 6:93

(Kwa wenye kusoma na kuandika) )Alietumwa kwa wana wa kondoo wewe mbuzi inakuhusu nini?wewe mbuzi tuu huyo unaemuita mungu si lolote si chochote yeye ni miongoni mwa mitume waliotangulia


Akili za kigalatia sie hazitusumbui ! Ndo maana, hatuponyi viwete !

Na wala hatufufui wafu na kuwalipa walio hai ili wajipake maudongo na majivu mjazwe imani ya uongo

sikio la kufa halisikii dawa, ukishabandikwa muhuri hata ufanyeje kamwe hutotoka katika imani potofu

Hata ufanyeje mwenyezi mungu akikupiga muhuri unakuwa usikii kitu..Hata alie tahiliwa utamuita mungu hali ana kula na kuenda chooni
 
Itabidi wamzungushe ulimwenguni kote kuonesha Maajabu ya Allah (SW).


Azungushwe ulimwenguni ili iweje,,,Mbele ya mwenyezi mungu hakuna usaniii na hata kama hii habari ilikuwa ya uwongo basi tumuachie mwenyezi mungu atupe majibu ya kweli na uongo ujitenge
 
last edition ya hio quran hahahaha mad in china or saudi arabia printed mwka gani,,,,kiini macho tu hakuna kingine nionacho hio qurani ya bati si ingelowana waifanyie practical ya kuwekwa kwenye ute ute wa mama mjamzito tumbon tuone kama tadumu,,,ikiwekwa kumani tu itatoka ishawowana ndani ya saa tatu labda waseme wazalishaji walimshikisha wakati kesha zaliwa haha ina maana na hio qurani imeogeshwa mbona hata zile dam damu hakuna wala ute ,,,,,shit!
 
last edition ya hio quran hahahaha mad in china or saudi arabia printed mwka gani,,,,kiini macho tu hakuna kingine nionacho hio qurani ya bati si ingelowana waifanyie practical ya kuwekwa kwenye ute ute wa mama mjamzito tumbon tuone kama tadumu,,,ikiwekwa kumani tu itatoka ishawowana ndani ya saa tatu labda waseme wazalishaji walimshikisha wakati kesha zaliwa haha ina maana na hio qurani imeogeshwa mbona hata zile dam damu hakuna wala ute ,,,,,shit!

Tunajua unajutia kwa ulichoandika,,Wenye iman na subira hawato sumbuka na wewe kwa muda huu...kwani wewe ujui uzito wa yaliyomo ndani ya Qur an mwenyezi mungu akusamehe
 
jamani ncheleleeeeeeeeeeee mie, duh, quran, nguo na kibakuli cha sadaka vyote kazaliwa navyo.

mmmh. napenda niamini, sasa nitajuaje hakijapachikwa mkononi mwake?

mana kavishwa hadi nguo, hakikupokonyoka?

Aisee hiyo mimi napinga kabisa. Inamaana Tumbo la uzazi la mwanamke linaweza kuumba Quraan? Aisee haya ni maajabu ya mwaka.

Nimeipenda hii! Ni ujinga wanataka kuleta hawa! Wangeonyesha akiwa ndo anatoka Kwenye uzazi amekishika.

Wanadhani watu wote ni wa wakati wa Muhammad.. Unadanganywa unameza.. Huna pesa za kujikidhi kimaisha unaambiwa Ongeza Mke

last edition ya hio quran hahahaha mad in china or saudi arabia printed mwka gani,,,,kiini macho tu hakuna kingine nionacho hio qurani ya bati si ingelowana waifanyie practical ya kuwekwa kwenye ute ute wa mama mjamzito tumbon tuone kama tadumu,,,ikiwekwa kumani tu itatoka ishawowana ndani ya saa tatu labda waseme wazalishaji walimshikisha wakati kesha zaliwa haha ina maana na hio qurani imeogeshwa mbona hata zile dam damu hakuna wala ute ,,,,,shit!


Kwenye nyekundu hivi wewe umeshindwa kuandika lugha elekeai isikuwa na matusi.
wewe ni mtu wa aina gani au umezaliwa nyumani nini?Tuwaeshimu wenzetu na kitabu chao tuache mambo yasiokuwa na maana

Jiangalie wewe ulivyazaliwa kwa tone la manii kukaa tumboni kwa mama yako mda wa miezi tisa kuzaliwa sehemu amabyo sasa ukiambiwa urudi haitowezekana na mpaka unafikia kuandika matusi.Yote hayo uoni mungu yu wa miujiza?
Unajidanganya unaweza kuandika chochote kwa jina feki uwezi kupatikana kwa taarifa yako hilo ni swala dogo sana kwa ulimwengu huu wa teknolojia
Kuwa adabu

Huyo mtoto lazima alidai apate ubwabwa kabla hata ya kunyonya, kudadekiiii!!!

Nyinyi watu why are so selfish,isn‘t bcos u guys are christains not muslims or jelous that the was holding a Quran not Bible.If not why all?
Wacheni upumbavu huo mwacheni mungu afanye lake sisi binadamu tusililoliweza.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom