Nauza Lamborghin Gullardo

Nauza Lamborghin Gullardo

Duh lamborghin mbona wantisha hata ngekua dalali ngepata wakati mgumu kupata mteja...
 

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo. Kuna mwingine hata SANLG ya Mchina inampiga chenga, na mwingine ana Lambourghini
Sanlg mbona mbaali... Mboga tu ya majani issue. Tutafika tu siku 1
 
We mtoto lini utakua? Hiyo namba T....ARY ni ya mwaka 2007, sasa gari ya 2009 imeipataje hiyo namba?
Halafu wadanganye tusiokuijua. Emil unasoma CBE, na kazi yako ya kuuza simu humu, unanunua blackberries kwa bei chee kisha unaziuza kwa bei ya juu kuidogo, kama unabisha au kuna mtu anabisha fungueni jina lake msome post zake... Kuna blackberry 9700 nilikuuzia pale mlimani city kwa laki2 na themanini, ukaja na post humu unaiuza laki nne kamili, na mbwembwe nyiiingi eti umetoka nayo UK uliinunua kwenye kampuni ya three, wakati hayo maelezo nilikupa mimi wakati nakuuzia..
Hii ni forum ya watu na akili zao, wengine wanaweza kuwa wazazi wako...

Grow up na uache hype zako za kishule shule...
Kwa utaalamu wangu wa adobe, naweza kuedit picha yeyote ile ikaonekana ni real na wasiojua wakaamini. Lakini, who am I fooling!!! MY SELF...WORDS TO YOU MDOGO WANGU. Usipobadilika sasa hii tabia itakucoist sana maishani...
Ungebadili kwanza I'd basi ili iwe ngumu kukutrack... We unakaa mbezi analogue halaf unawadanganya watu hapa unaendesha lamboghini...wakati unakuja kununua bb 9700 bold ulikuja na 5 5...

Dahhhh aibu kweli ...
 
Bwana mbona hio sio lamborghini gallardo.

2003-Lamborghini-Gallardo-study-r-1280x960.jpg
 
the boy is crazy,not smart enough,ukiangalia jina la picha yaan attachment ina namba kama format ya facebook pictures, kadownload na kupachika namba tz, kwel hana kaz ya kufanya
 
Utadoda nalo hilo, ulihongwa la nini kama huna uwezo wa kulitunza.
 
upload sasa, kwani mpaka abishe.acha utoto bwana humu tupo serious
 
1.2 bilioni pesa ya Zimbabwe au DRC? naomba ufafanuzi
 
Huyu kaamuakusumbua tu watu, Lambo Murciellago anasema gullardo, kwa hyo bei angetangaza kuuza Pagani Zonda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom