UDOM kuna nini? Tunajua chuo kimejengwa kwa uzuri wa majengo tu! Waulize wanafunzi ubora wa elimu, hakuna field, maji hayatoshelezi, walimu wachache, hajawahi kuonekana Proffesor darasani zaidi ya wenye masters tu. na mambo mengine kibao. UDOM hakina tofauti na shule za kata za EL, Sio tu...