Dr. Wilbrod Slaa ndani ya Manyara (Katesh)

Yes you can with a bullet proof vest by blocking it, au?

Pro-CDM-JF, kwa maneno bana nakumbuka wakati wa maandamano Arusha polisi walipiga mabomu hewani, wafuasi wa CDM walisambaa barabarani zilibakia yebo yebo tu
 
Hamna rais mtarajiwa urais sio kama harusi ndio unaweza kusema bwana harusi mtarajiwa au bibi harusi mtarajiwa.
Ungesema rais kivuli wa Tanzania a loser Dr Slaa, atakuwepo Kateshi
Kazi uliyopewa/uliyojipa ni ngumu kwani unahitaji kuwa na kichwa cha mwendawazimu kupingana na wimbi la mabadiliko.
 
Pro-CDM-JF, kwa maneno bana nakumbuka wakati wa maandamano Arusha polisi walipiga mabomu hewani, wafuasi wa CDM walisambaa barabarani zilibakia yebo yebo tu

Hata Misri, Libya, Tunisia na sasa Syria wananchi walikuwa wanakimbia hivi hivi kama Arusha tena wao nini kuacha yeboyebo wakiwawamejichafua, mbaya zaidi Misri walikuwa wanamuita Mubaraka baba wa Taifa, lakini walipoamua kubadilika bwana we achatu!

Wanaarusha na Watanzania ni bado kitambo kidogo tu hawatakuwa tofauti na hawa niliowataja, nakuonea huruma wewe unayepigana vita ya propoganda ambayo mmeshashindwa.

Badilika waambie wabadilike waachane na dhuluma na ufisadi vinginevyo msaubiri cha mtemakuni wewe na mafisadi waliokutuma kupigana vita vya propoganda.
 
Mbona Kafu mna hasira hivyo punguzeni mnkari Lipumba kukosa urais mara tano isiwavunje moyo try again and again and....

Dah hii nayo imetulia kweli mkuu! Lipumba ni msomi ninayemkubali lakini shida yake hama mission wala vision na kwakuwa hayuko chama chenye changamoto atabaki pale pale na Mtatiro the most loser kijana, kwa akili za usomi hata wa kata hivi unaweza kukitrust chama ambocho Mtatiro ndiyo Katibu kama siyo kupoteza muda.
 
Muda si mrefu Mh. Dr. Wilbrod ataingia uwanjani kutoka Igunga. Wananchi wazalendo wamejaa uwanjani wakimsubiri kwa hamu kiongozi wao.
 
Taarifa fupi tu kwa wan JF ni kuwa Jimbo la Hanang ni kati ya majimbo yaliyokaliwa na viongozi wakubwa kitaifa, mwanzo alitoka waziri mkuu Fredirick Sumaye na sasa ni waziri wa uwekezaji na uwezeshaji Mary Nagu ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali za uwaziri ikiwemo waziri wa viwanda na biashara na waziri wa sheria Lakini mpaka leo ni jimbo mojawapo kati ya majimbo yasiyokuwa na maendeleo kama maji, barabara nk.

Mbaya zaidi ni ufisadi uliokwishawahi kufanyika katika halmashauri na viongozi wakubwa kukaa kimya.
 
Rais mtarajiwa ni fikra za finyu na kujipendekeza. hata slaa hapendi kuambiwa hivyo. yeye ni kiongozi shupavu wa CDM .
 
nasisitiza tufanye siasakwa kuepua kinafiki za upande wa pili. Tuwasifie viongozi kwa maamuzi yao
 
Every who streches a skin on drum, pulls the skin own his own side, unategemea mtu kama wewe ulivyokuwa mateka wa Mbowe utasemaje?

Ejoooo! Uuuuuwii!! Sijui ndiyo "siko-ndari" za miaka miwili?

Eti hiyo ndiyo tafsiri ya "kila mwamba ngoma, ngozi huvutia kwake"
Duh! Sijui ni Guninita au Ridhiwan?
 
quote_icon.png
By ritz Every who streches a skin on drum, pulls the skin own his own side, unategemea mtu kama wewe ulivyokuwa mateka wa Mbowe utasemaje?
Unakumbuka jana nilikuambia nini kuhusu kingereza chako,
haya ni matokeo ya kutumia dictionary kutafsiri maneno huku grammar ukisahau.
 
Taarifa fupi tu kwa wan JF ni kuwa Jimbo la Hanang ni kati ya majimbo yaliyokaliwa na viongozi wakubwa kitaifa, mwanzo alitoka waziri mkuu Fredirick Sumaye na sasa ni waziri wa uwekezaji na uwezeshaji Mary Nagu ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali za uwaziri ikiwemo waziri wa viwanda na biashara na waziri wa sheria Lakini mpaka leo ni jimbo mojawapo kati ya majimbo yasiyokuwa na maendeleo kama maji, barabara nk. Mbaya zaidi ni ufisadi uliokwishawahi kufanyika katika halmashauri na viongozi wakubwa kukaa kimya.
<br />
<br />
mi nina asili ya huko na baadhi ya ndugu zangu paka leo wanaishi huko,nachoweza kusema naifahamu hali ya kule kwa kiasi kikubwa na kinachosemwa ni kweli!
 
Nadhani mgejadili mambo anayosema kuhusiana na nchi na wananchi sio maisha binafsi ya mtu kwani vyama lazima vianze kujifunza zaidi kutilia mkazo kwenye sera na si watu
 
Wachawi ni weng sn ktk safari ya cdm.ila chama kina watu makini na wapiganaji wa kwel.hayo maneno mengine ni kama taarabu tu za bongo
 
There is one and only one loser president in Tanzania...

Named JAKAYA MRISHO KIKWETE... YAANI BABA YAKO RIZIWANI...

Katika miaka 6 aliyokuwepo madarakani mitatu na nusu nchi haina umeme, ndiye anayeongoza kwa kuombaomba misaada, winners kama Dr Slaa haatembei na mabakuri ya kuomba misaada bcoz they have solutions for our national's problems. Losers like JK who dont have solutions ndio wanategemea uwezo na akili za watu wengine in terms of misaada au umatonya kusolve problems
Yap yap hii nimeipenda ,hatuwezi kuwa Matonya kila kukicha wakati kila kitu tunacho.
 
Yetu macho na masikio lakini wakati utatuambia ukweli.Kila kitu kipo wazi na hakna haja ya kubezana hapa kwa mambo yaliyo wazi.Hebu tuangalie kashfa za ufisadi zinarindima wapi na wanaotafuna nchi ni akina nani?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom