Kwa hili jk nampongeza

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Jk katika utawala wake kaweka rekodi ya kufanya madudu mengi sana,siwezi kuyaorodhesha hapa kwani watu washayazungumza sana! Ila huyu jamaa kajitahidi sana kukuza demokrasia na kupunguza kuogopana katika jamii,ijapokuwa ana mapungufu ya kuchakachua kura! Nakumbuka katika tawala zilizopita kuna watu walikuwa ni miungu watu,hawashikiki! Wote 2nakumbuka ukilaza wa sumaye enzi zake lakini kazi ya kupambana na watu kama hao 2limwachia lyatonga peke yake! Siku hizi ni ful kujiachia,mtu unaweza kusema chochote kuhusu chochote na ukapeta tu! Magazeti ni kama utitiri na kila cku baadhi yao yanaandika mambo kinyume ya maadili au yanatukana watu,lakini yanapeta streetz! Pamoja na matatizo yake lakini ndani ya tanzania ss ni kujimwaga tu,sema chochote! Sasa najaribu kujiuliza kama hizi ni juhudi binafsi za kikwete katika kukuza demokrasia au kabanwa kwenye angle ana jinsi ya kufanya??inambidi 2 awe mpole?
 
Umenena. Mh. J.K ni kweli yeye kama binadamu ana mapungufu yake. Lakini kuna baadhi ya mambo kayaweka sawa! Umeishaenda UDOM?
 
Hebu ngoja nijaribu kukumbuka......MMMH hapana bana! Anza upya kumsifia hizo ni sifa za kijinga cha moto (usije sema nimekutusi)
 
UDOM kuna nini? Tunajua chuo kimejengwa kwa uzuri wa majengo tu! Waulize wanafunzi ubora wa elimu, hakuna field, maji hayatoshelezi, walimu wachache, hajawahi kuonekana Proffesor darasani zaidi ya wenye masters tu. na mambo mengine kibao. UDOM hakina tofauti na shule za kata za EL, Sio tu kuanzisha chuo wanatakiwa kuangalia na ubora wa Elimu. University huwa haipachikwi bali inakua, huwezi anzisha chuo ndani ya miaka mitatu ukaita university.
 
Jk katika utawala wake kaweka rekodi ya kufanya madudu mengi sana,siwezi kuyaorodhesha hapa kwani watu washayazungumza sana! Ila huyu jamaa kajitahidi sana kukuza demokrasia na kupunguza kuogopana katika jamii,ijapokuwa ana mapungufu ya kuchakachua kura! Nakumbuka katika tawala zilizopita kuna watu walikuwa ni miungu watu,hawashikiki! Wote 2nakumbuka ukilaza wa sumaye enzi zake lakini kazi ya kupambana na watu kama hao 2limwachia lyatonga peke yake! Siku hizi ni ful kujiachia,mtu unaweza kusema chochote kuhusu chochote na ukapeta tu! Magazeti ni kama utitiri na kila cku baadhi yao yanaandika mambo kinyume ya maadili au yanatukana watu,lakini yanapeta streetz! Pamoja na matatizo yake lakini ndani ya tanzania ss ni kujimwaga tu,sema chochote! Sasa najaribu kujiuliza kama hizi ni juhudi binafsi za kikwete katika kukuza demokrasia au kabanwa kwenye angle ana jinsi ya kufanya??inambidi 2 awe mpole?

Huwa sikuelewi kama kaka yako Malaria Sugu!

Leo umekuja na bandiko Lingine unataka uwe Mbunge wa CDM upate posho badala ya kutumia wananchi, sasa unakuja na hadithi za Abunuwas, Msifie amekuza Inflation, umasikini umekuwa mkubwa, giza limeongezeka maana TANESCO wanakuja na single nyingine ya emergency power supply lol!
 
Umenena. Mh. J.K ni kweli yeye kama binadamu ana mapungufu yake. Lakini kuna baadhi ya mambo kayaweka sawa! Umeishaenda UDOM?

wala siyo UDOM tu.Unajua waswahili tunasema "Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" JK kuna mambo kachemsha kulingana na mfumo alioukuta na kama ukiwa mazalendo wa dhati, ni kwamba kipindi chake kimekuwa cha kushughulikia matatizo mengi aliyoyaacha mkapa. Nilienda Kigoma Mwaka jana hali niliyoikuta pale hakuna hata rais ktk waliomtangulia aliyeweza kufanya vile. Anaunganisha mikoa yote kwa barabara za lami,kasimamia ujenzi wa sekondari za Kata japo zina changamoto zake, lakini bila kuzianzisha hizo changamoto tusingeziona,wote tunajua Moja siyo sawa na zero,yeyote anayebeza hili nadhani mtindio wa ubongo hauko sawa.na mengine mengi
 
jambo moja ambalo siwaelewi watanzania ni kuwa miaka michache iliyopita mkapa alionekana kama rais mwizi mkubwa aliyepeta kutokea, akaandamwa, akaandikwa na mpaka watu walikuwa wanalazimisha ashtakiwe na ilikuwa ni busara za kikwete aliyesema mwacheni mzee mkapa apumzike, lakini watu hawahawa leo wanakuja wanamponda sana kikwete na wanaanza kumsifia mkapa na kumponda kikwete, hivi sisi ni vichaa? mazuzu? au tuna ajenda zetu na chuki zetu na baadhi ya watu?

haiingii akilini mtu ,tuiyemponda miaka michache kiasi akawa anazomewa mpaka na watoto wa sekondari leo hii anasifiwa kwamba aliiongoza nchi hii vizuri
 
kuruhusu uhuru wa kutoa maoni bila kufanyia kazi yale maoni yanayotolewa ni bure, sasa yana faida gani ikiwa anayaweka kapuni si kupoteza uda wetu tu. hata maoni ya chombo ka bunge anayapotezea ref: to Richmond saga. Karuhusu watu kutoa maoni afu yeye kaweka pamba masikioni hapo kuna la kujenga kweli. labda ungemsifu kwa misamiati, misimu na kauli mbiu zimekuwa nyingi kweli afu haziendelei kuanzia kilimo kwanza hadi kujivua gamba zote mboyoyo. kwa misamiati, vijineno na misemo nampa heko. hongera Jk TUKI, BAKITA watahitaji mchango wako saana
 
Jk katika utawala wake kaweka rekodi ya kufanya madudu mengi sana,siwezi kuyaorodhesha hapa kwani watu washayazungumza sana! Ila huyu jamaa kajitahidi sana kukuza demokrasia na kupunguza kuogopana katika jamii,ijapokuwa ana mapungufu ya kuchakachua kura! Nakumbuka katika tawala zilizopita kuna watu walikuwa ni miungu watu,hawashikiki! Wote 2nakumbuka ukilaza wa sumaye enzi zake lakini kazi ya kupambana na watu kama hao 2limwachia lyatonga peke yake! Siku hizi ni ful kujiachia,mtu unaweza kusema chochote kuhusu chochote na ukapeta tu! Magazeti ni kama utitiri na kila cku baadhi yao yanaandika mambo kinyume ya maadili au yanatukana watu,lakini yanapeta streetz! Pamoja na matatizo yake lakini ndani ya tanzania ss ni kujimwaga tu,sema chochote! Sasa najaribu kujiuliza kama hizi ni juhudi binafsi za kikwete katika kukuza demokrasia au kabanwa kwenye angle ana jinsi ya kufanya??inambidi 2 awe mpole?


Tolowski, hiki unachookiita demokrasia haiko kiivyo. kama wewe ni mchambuzi mzuri utaelewa kinachoendelea ni minyukano ya makundi yaliyo-hasiana. Na kila mmoja anamjua mwenzie vilivyo hiyo hakuna kuogopana. Hapa wala siongelei cdm.
 
UDOM kuna nini? Tunajua chuo kimejengwa kwa uzuri wa majengo tu! Waulize wanafunzi ubora wa elimu, hakuna field, maji hayatoshelezi, walimu wachache, hajawahi kuonekana Proffesor darasani zaidi ya wenye masters tu. na mambo mengine kibao. UDOM hakina tofauti na shule za kata za EL, Sio tu kuanzisha chuo wanatakiwa kuangalia na ubora wa Elimu. University huwa haipachikwi bali inakua, huwezi anzisha chuo ndani ya miaka mitatu ukaita university.

nlicheka sana kusikia tangazo la kazi likisema sifa: one should have graduated any recognized university/college except UDOM. Hapo kulizuka utata mkubwa!
 
Mkuu Laiti ungejua yanoyo watoke waandishi wa habari usinge sema aya, Apo akuna kitu tunazugwa tuu.
 
wala siyo UDOM tu.Unajua waswahili tunasema "Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" JK kuna mambo kachemsha kulingana na mfumo alioukuta na kama ukiwa mazalendo wa dhati, ni kwamba kipindi chake kimekuwa cha kushughulikia matatizo mengi aliyoyaacha mkapa. Nilienda Kigoma Mwaka jana hali niliyoikuta pale hakuna hata rais ktk waliomtangulia aliyeweza kufanya vile. Anaunganisha mikoa yote kwa barabara za lami,kasimamia ujenzi wa sekondari za Kata japo zina changamoto zake, lakini bila kuzianzisha hizo changamoto tusingeziona,wote tunajua Moja siyo sawa na zero,yeyote anayebeza hili nadhani mtindio wa ubongo hauko sawa.na mengine mengi

we vp ww? Nitajie ni barabara ipi iliyojengwa 2005-2011 iliyopendekezwa na kuanza kujengwa na kuisha,usitaje zile zilizokuwa planned na tangu miaka ya 85 na kufadhiliwa miaka ya 90 kisha kufanya ujenzi miaka 2003 mpaka sasa. Au we ukiona wanajenga somewhere unajua rais wako ndo katoa fund na kuanza kujenga? Ndo maana utakuta wanasema imejengwa na IMF,JAPAN,NORWAY nk,je ni lini wametoa msaada huo? Eti mnyonge mnyongen,we mark ni lini hapa jf ulishawai kumnyonga uya mtu wako! Sitaki mi,maneno ya uongo!
 
Back
Top Bottom