Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
kwani huyo mwanamke alivyokuwa anachumbiwa alikuwa hajijui kama yeye ni mke wa mtu? mi sioni haja ya kumlaumu slaa coz mwanamke ndo ana makosa,yeye kwanini akubali kuchumbiwa kama ni mke wa mtu?by the way hizo ni personal issues whats matters here ni sera za kweli na uhakika