Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo anatarajiwa kutua Katesh, Manyara mida ya saa nane mchana hivi.
Ataongea na wananchi wazalendo katika viwanja vya stendi na kesho Jumatatu atakutana na madiwani wa Chadema.
Habari zaidi na picha tutawajuza badae.
Ataongea na wananchi wazalendo katika viwanja vya stendi na kesho Jumatatu atakutana na madiwani wa Chadema.
Habari zaidi na picha tutawajuza badae.