We ulipewa ile Chanel ya mziki ya kwa late madiba na ukakuta ishatumiwa vya kutosha,kwa mtu mwenye akili timamu hawezi lala na shemejie.subiri cku yako ya kuparamiwa laana mkubwa
Acha uongo hiyo hotel haina ceiling board au gypsm board? Au dirisha lili kuwa wazi ndo sauti ikatoka nje? Je ni ghorofani au? Usilete mambo yakuja kuoshea kabila lako hapa .
Mkuu wote hao ni wakezako huna haja ya kuumia kwani ulivyo mparamia rafiki ya mkeo yeye angejua asinge umia? Maana hapa maumivu yako sijaelewa (1)kunyinwa 07(2) mkeo kutoa chumba chako(3)mchepuko wako kuparamiwa tena kitanda chenu kilicho laaniwa? Naomba ufafanuzi mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.