Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Elewa jamaa aligonga na tena usilolijua ni kwamba ktk kipindi chote cha miaka 4 ulifanywa zoba.... Changanya na zako ufanye maamuzi sahihi.
 
Walk away dude! Usije fungua uzi kama huu tena huko bdae utakapokuwa ndoani na mna watoto. Kama angegongwa huko nje its another case. Ila kumlaza kwenye kitanda ambacho probably na wewe ukienda utalala. Hizo ni dharau, kutokujitambua na wala kukupenda kwa this...
Asnte sana mkuu kwa ushauri wako ntaufanyia kazi
 
duh hata mimi siamini kama hawakunjunjana aisee.. ila huyo demu akili yake ina itilafu kuna fuse imekatika .. jaribu kumchunguza
 
Sasa si ushukuru mungu umegundua leo?
je ungemuoa akakubambikia watoto je?

........au angeambiwa ukweli kuwa jamaa atafikia hapo na kulala ndio angefanyaje?

Saa ingine bora ya nusu somo kuliko somo kamili.
 
Si unaona mkuu, badala auchapishe mwendo mchepuko njia kuu yaja anatoa sababu. Mi nakuambia wanaume tuna heshimu wake zetu coz wakije michepuko inatoka. The girl would obviously rather be with mchepuko than jamaa

hawa wanawake wa vyuo hawa sina hamu nao hawana tofauti na machangudoa. Japo sio wote lakn walio wengi warahisi sana.

Tena mbaya zaidi haijalishi ni mtu mzima au hata mke wa mtu akishaenda chuo tu tayar anakuwa rahisi kuchukuliwa.

Nawaonea huruma sana wanaume walio na wanawake zao vyuon,
 
hawa wanawake wa vyuo hawa sina hamu nao hawana tofauti na machangudoa. Japo sio wote lakn walio wengi warahisi sana.

Tena mbaya zaidi haijalishi ni mtu mzima au hata mke wa mtu akishaenda chuo tu tayar anakuwa rahisi kuchukuliwa.

Nawaonea huruma sana wanaume walio na wanawake zao vyuon,
acha bwana kufanya hivyo
 
Pole sana, fanya maamuzi pale hasira itakapoisha au pungua.
Tunashauriwa tusifanye maamuzi yoyote pale tunapofurahi sana au tunapokuwa na hasira kali(chukia sana).
Pole sana Baadhi ya Binadamu tunafanya Mambo kwa kutumia hisia tu.....tunaishia Kupata matatizo.
 
duh hata mimi siamini kama hawakunjunjana aisee.. ila huyo demu akili yake ina itilafu kuna fuse imekatika .. jaribu kumchunguza

haijakatika fuse sema tu amemsoma jamaa yake pamoja na mazingira yalivyo ndio akaamua kufanya hvyo.

Lakn alisahau kuweka plan B ya defence...
 
Huyo demu hajitambui na hakuheshimu! ....then pima kama anafaa kuwa mama watoto wako!!!
 
Piga chin faster kaka, madem hawana dhamana atakuoasua kichwa tu, tena kwa maisha ya chuo ndio hatar tupu unaweza ukafa na bp! hana maana uyo toroka mapema angalia maisha, baadae atakukumbuka tu
 
Mkuu asante kwa ushauri wako lakin suala la ada alikuwa akilipiwa na mzazi wake,me nilikuwa nikimsaidia pesa ndogo ndogo tu za matumizi

Hizo hizo unazodunduliza ni nyingi sana na ndiyo maana hataki kuzikosa.
Jamaa kaitandika papuchi miaka yote alipokuwa Mbeya, anakushangaa sana kuona unatumia nguvu nyingi kuhudumia wakati yeye anajilia kiulaini tu.
Achana nae, hizo hela ulizompa fanya kama ulikuwa unamhudumia mdogo wako.
I see no future ahead of you... unachunwa jombaa!
 
Back
Top Bottom