Uongo dhambi: Mwanamke mwenye mimba mtamu

Uongo dhambi: Mwanamke mwenye mimba mtamu

Lkn wewe jamaa haufai hata kwa bure,kwasababu uliamua kulala na mke wa rafiki yako ulifanya makosa,sio vizuri.
 
wanajamvi salama

nimekuwa nikisikia mara kwa mara eti demu mwenye mimba mtamu nikawa siamini lakini jana nimejionea laivu.
Ni hivi jana mida fulani ya mchana demu wa msela wangu wa zamani kanipigia cm na kuniomba nikamchukue eti amemic kutembelea mtaani kwetu nimtoe out.
Mwanaume bila ajizi nikaenda nikamchukua nikamtoa out wakati wote huo nilikuwa sijaona kitumbo manake kilikuwa bado hakijakuwa sana.
Wakati tunatoka mida ilikuwa imeenda sana hivyo mimi kushindwa kumrudisha home kwa hiyo tukakubaliana twende tukalale geto kwngu.
Kufika geto si nikaanza uchokozi wangu mtoto kalegea nikamsaula viwalo si ndo nakutana na kitumbo.
Kwa vile mwanaume visafari lager vilikuwa kichwani nikaamua kujigongea mtoto ni fundi huyo shazaga ya motoooo.
Kweli nikaamini lisemwalo lipo manake nilipata raha ambayo sijawahi ipata toka nizaliwe.
Em niambieni wadau ile ni kwa sababu ya maujuzi au ujauzito manake apa yenyewewe natamani ata nirudie game.

jiandae kupigiwa pia wa kwako akiwa na mimba na hata kama hana mimba. Ipo siku utajua kabisa kuwa mke wako kapigwa na hata ukimuomba game anakupa ila hafurahi tendo akili yake itakuwa nje, mtagombana sana lakini lazima utambue kwenye mambo haya kuna 'payback period' wakati unapambana naye jaribu kuvuta kumbukumbu ya uliyoyafanya.
 
Una laana ya kulala na mke wa rafiki yako...hlf ni ushamba pia mkuu.
 
We ulipewa ile Chanel ya mziki ya kwa late madiba na ukakuta ishatumiwa vya kutosha,kwa mtu mwenye akili timamu hawezi lala na shemejie.subiri cku yako ya kuparamiwa laana mkubwa
 
Ungepata ya miezi 7 si ndiyo ungeenda kuandika kwenye magazeti ya shigongo unaipata ina moto na maji maji ya azam drink water lazma uenjoy

dah hi hatari,miezi 7 tumbo si litakuwa limisha kuwa kubwa kama diaba.
 
Hahahaa.....Nimemaliza kumugegeda mwanamke mwenye mimba ya miezi mitano...Aiseeee usemacho mkuu mtoa mada ni sawa kabisa.Nimemaliza vitatu kavu.
 
Duuh! Mwenzio ilikatikia ndani kitumbo mdada kikamtoka. Maana yake alipigwa kavu. Nawe ducherere lako ukalipenyeza kwenye mbunye bila soksi. Utamu umepata ila sasa tembelea Angaza kusalimia manesi. Unalo.
 
Duuh! Mwenzio ilikatikia ndani kitumbo mdada kikamtoka. Maana yake alipigwa kavu. Nawe ducherere lako ukalipenyeza kwenye mbunye bila soksi. Utamu umepata ila sasa tembelea Angaza kusalimia manesi. Unalo.

Hahahaha duh....Vipi kwema mkuu share
 
Back
Top Bottom