UKAWA mbona kimya kuhusu ufisadi na mafisadi?

UKAWA mbona kimya kuhusu ufisadi na mafisadi?

Kilichokuwa kinafanywa na wapinzani ni kuupigia kelele ufisadi uliokuwa unafanywa na serekali ya CCM na kazi nyingine ya wapinzani ilikuwa ni kumwandaa mtu atakayepambana na ufisadi,sasa mtu anayefanya kazi ya kupambana na ufisadi kwa kutumia silaha zilezile za upinzani ameshapatikana tayari.

Je wapinzani wanahaja gani ya kuendelea kuupigia kelele ufisadi ambao tayari unafanyiwa kazi na Magufuli tena wanaofanyiwa kazi ni walewale CCM ambao wapinzani siku zote wamekuwa wakiwapigia kelele kuwa ni mafisadi?.
 
Hilo gazeti si lilikuwa
likitumika Kuichafua Ukawa
kwamba Dr Slaa Na Lipumba ndio wanaopinga ufisadi,ndo maana wamesusa ?unakujaje kuwauliza hawa ??

Kwanza ccm Nani ambaye sio fisadi akiwemo huyo Maguuli kwa mujibu wa Dr Slaa pale Tabora
 
Nanukuu gazeti la HABARILEO

"UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.

Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana, alisema kama kweli ni wazalendo, ni vyema wale wote waliokuwa wakipinga ufisadi wajitokeze hadharani, kupongeza hatua zinazoendelea kuchukuliwa".

Nami naongezea "magwiji wa kuzungumzia ufisadi - Lissu, Mnyika, Mdee nk" mko wapi kumuunga mkono Rais hata kwa kumpa majina ya mafisadi, au ndo mmefungwa
Midomo!

Banna mpuuzi si alikuwa anaitetea seeikali ya kikwete kwa nguvu zote... Leo magufuli anafanya tofauti na alichokuwa anakisifia anajifanya anampongeza pia.. Ofcouse magufuli anatekeleza tu yalisemwa na akina lissu bt list of shame ilikuwa na vigogo 11 na hajaguswa yyte hadi sasa xo nahis anafanya Kazi vizuri lakini muda Wa kusifiwa bado kuna watu hawajaguswa bado japo mwendo upo vizur ila natoa angalizo BANNA NI WA KUPUUZWA ni wa kujipendekeza tu hakuna kingnine
 
waseme nini, wamepigwa butwaa. hawakutegemea jpm atayafanya anayofanya. kumbuka waliwalaghai hasa vijana kwamba hata malaika akijiunga ccm atageuka na kuwa shetani, tatizo mfumo. sasa jpm hajatoka nje ya ccm bali ndani. kumbe ndani ya ccm wapo watu safi wapo malaika ambao waweza ongoza taifa letu kwa ufanisi mkubwa.
ukimya wao pia unatokana na uwepo wa el kwenye kambi yao, mtu ambae walimshutumu kuwa fisadi papa kwa muda mrefu. sasa ndo wanatambua makosa waliyofanya kumkaribisha. roho zinawasuta. nawashauri wamtafute lipumba atawapa ushauri nasaha.

Ushauri wa kina mama Wa VICOBA ni wa kutupwa mbali
 
Makamanda wako bize WANAZUNGUSHA!
Sasa waongee na kukemea ufisadi wakati chama chenyewe mdo hizo tena!
 
Manyumbu yanatakiwa yamuunge mkono JPM waziwaz na yashiriki kuyatoa mafisad walionayo
 
Hilo fusso lilikuwa limebeba manyumbu au nyati? Nathamani yake ni sh ngapi?na hatua zipi zina chukuliwa?
 
Nanukuu gazeti la HABARILEO

"UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.

Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana, alisema kama kweli ni wazalendo, ni vyema wale wote waliokuwa wakipinga ufisadi wajitokeze hadharani, kupongeza hatua zinazoendelea kuchukuliwa".

Nami naongezea "magwiji wa kuzungumzia ufisadi - Lissu, Mnyika, Mdee nk" mko wapi kumuunga mkono Rais hata kwa kumpa majina ya mafisadi, au ndo mmefungwa
Midomo!
mkuu kwani mnyika keshapona? jana kulikuwa na nyuzi mbili hapa zikielezea kuwa yupo temeke anaumwa.
 
Nanukuu gazeti la HABARILEO

"UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.

Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana, alisema kama kweli ni wazalendo, ni vyema wale wote waliokuwa wakipinga ufisadi wajitokeze hadharani, kupongeza hatua zinazoendelea kuchukuliwa".

Nami naongezea "magwiji wa kuzungumzia ufisadi - Lissu, Mnyika, Mdee nk" mko wapi kumuunga mkono Rais hata kwa kumpa majina ya mafisadi, au ndo mmefungwa
Midomo!

Hawawezi kukata tawi la mti waliolikalia
 
Rejea posts za Zitto. Makontena yote yaliyokamatwa ni ya wafadhili wa ukawa. Bado fisadi la Richmond na sakata la bilicanas. Miungu yenu inatupwa kuzimu soon

Wakamateni mfute hizo propaganda zenu. Ukimnukuu mpuuzi kama zitto umefuta uzito wa hoja yako.
 
Uloi nga mâché68;14803004 said:
Chadema jibuni hoja. Sera yenu ni ipi sasa?
Pole kama hujui ni kwa sababu ya ujinga wako. Mwenye kujua anazitumia
 
agenda yao maarufu iliyokuwa inawaweka mjini(vita ya ufisadi)imetwaliwa na watu wa kazi baada ya kitendo mashuhuri cha kubadili gear angani na sasa wamebaki WAKIWA.
 
Ukawa imekwisha. Mzee wa Monduli asingeweza kufanya anayoyatenda Mh Raisi.#Hapakazituu
 
Makamanda peeoplesss tunasubiri matukio dhidi ya serikali cku c nyingi tutaibuka kudai haki ya akina Manji kwa kutaka ufafanuzi wa kisheria kuhusu maamuz ya mahkama dhidi ya sirikali na kwann govt imeshindwa kutii amri ya mahkama,
 
Back
Top Bottom