Recent content by Dullah694

  1. D

    Hivi ni lazima nikienda South Africa nijue lugha zao nyingine apart from English?

    Habari za muda, ndugu zangu. Nina swali napenda kuuliza: Huenda kuna Watanzania ambao walishawahi kufika Afrika Kusini, au huenda kuna wengine wanaishi huko chini ya Madiba. Napenda kuuliza: Hivi, ukienda Afrika Kusini, ni lazima ujue moja ya lugha kama Zulu, Xhosa, Sesotho, au Afrikaans, au...
  2. D

    Tuhamasishe matumizi ya lugha ya kiingereza

    Ujue kwenye hii dunia Lugha ya mawasiliano Worldwide is English ila sisi Tanzania tunaendekeza sana Kiswahili. Watu tukienda huko nje tunashindwa vingi coz our English ni poor kabisa mm ningekua Rais ningeamua Kiingereza kitumike kufundishia kuanzia primary mpaka University. Ujue mimi...
  3. D

    Huyo Mpenzi uliyenaye atakuvumilia katika Matatizo? Mpenzi wa Fei Toto aliolewa wakati wa Sakata la Fei na Yanga

    Fei toto kashaanza yake tena analamika mapenzi wakati kuna dada yupo TikTok alisema yupo tayar kumpa fei penzi akitaka mda wowote halafu anazingua yy ni Mchezaji mkubwa madem wanamuelewa sana kwa nn ateseke wakat ana uwezo wa kupata utelezi mda wowote yy ni staa pia ana pesa
  4. D

    Natafuta kazi ya ualimu au yoyote

    Kwa majina naitwa Abdallah nna miaka 23 nimemaliza chuo mwaka huu natafuta kazi ya ualimu shule binafsi au hata Hotelini, Kiwandani nipo tayari nipo Dodoma mawasiliano 0657897884
  5. D

    Naomba Ushauri: Nataka kuacha kubeti

    Habari za muda, Mimi ni kijana wa miaka 23 nimekuwa na uraibu mkubwa sana wa kamari (kubeti). Nilianza kubeti tangu 2015 kipindi nipo Form 2 kipind Primier Bet inaanza wale wa vikaratasi then nilistop kwa muda ila wakati nipo form 5 nikarud na uraibu ulianza. Japo nilishawahi kushinda...
  6. D

    Naombeni ushauri: Wazazi wananizuia kuondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha

    Habari mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu mwaka huu. Tangu nimalize chuo nipo nyumbani nakumbana na changamoto wazazi wamenizuia kuondoka hapa nyumbani nikajaribu bahati yangu huko pengine. Pia nikitaka nijaribu kufanya kazi yoyote wananikatalia wanasema siwezi...
  7. D

    Nina uraibu wa kuangalia video za Ngono. Nisaidieni ushauri ili niache

    Mimi ni kijana wa miaka 23, ni muathirika na muhanga wa kuangalia video za ngono, namaanisha "XXX videos". Natamani kuacha, kila siku nachafua mashuka baada ya kuzingalia napambana sana but nashindwa. Naombeni ushauri ili niache niwe kama vijana wengine.
  8. D

    Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

    Mm ni muhanga wa Alliance in Motion Global walikua na project yao wanaita Economy Driver mwaka 2021 nilipokua nipo mwaka wa 2 chuon UDOM nilijiunga kwa mtaji wa 360K niliendaga ofisini kwao Majengo sokoni nilishawishiwa na hao watu wa hyo kampuni mm nilipelekea ofisini na rafik angu niliekua...
  9. D

    Nimechaguliwa UDOM kozi ya BED-PYS naweza kuhamia Ardhi nikasome bachelor of science in Urban and regional plannin?

    Hyo BED Psy ni nzur utasoma ualimu wa masomo yako mawili ya kufundisha pamoja na psychology ww una bahat umechaguliwa coz nzur alaf unataka vitu visivyoeleweka course za ualimu ni nzur
  10. D

    Je, hii fursa ya Economy Driver plan 2.0 ni ya ukweli au matapeli?

    Kuna manzi mmoja alikua n mwanachuo wa UDOM siku moja nilivyofika pale Ofisini kwao kwenye semnar majengo sokoni seminar ulivyoisha alitoa pesa yote ya ada aliyopewa km 360K ili kukamilisha mtaji baada ya seminar wakaanza kusema huyu ndo champion mpk akasema nimeamua kujisacrifie pesa ya ada...
  11. D

    Je, hii fursa ya Economy Driver plan 2.0 ni ya ukweli au matapeli?

    Jamani wana JF nina swali nataka kufahamu kuna yoyote anaeifahamu hii fursa ya biashara ya Economy Driver under Alliance in Motion Global wana ofisi pale Mikocheni nilihudhuria seminar yao nkaona wana mafanikio makubwa asa mm sielewi je nijiunge au vip maana nimepata shuhuda nyingi. Kingine Je...
Back
Top Bottom