Dah mm mwenyewe imenitokea mara kibao najibiwa hivyo na ki ukweli huwa najisikia vibaya nahic km mwenzangu hanipendi vile!! cjui huwa wana maana gani ila linakatsha tamaa.
Ok lakn je hao watoto wao wameishi kama sisi watanzania masikini? wamesoma shule za kata? wanaujua UMASIKINI? wao wamekulia kwenye maisha ya raha so cdhani km watakuwa na uchu wa kuwatetea masikini.
Ni kwa sababu ss hv watu wanaangalia zaidi kitendo cha ngono kuliko upendo wenyewe kutoka moyoni so tamaa ya mwili imezidi upendo halisi,na kibaya zaidi hawamshirikishi Mungu katika kuwapata wenzi wao,na money power kwa girls nayo imechangia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.