idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Sasa mawazo gani haya mabovu?
watoto wa viongozi siku zote huwa 'the opposite' na wazazi wao
Waulize waliokuwa wanampenda Kighoma Malima jinsi Adam Malima alivyo tofauti na baba yake..
Ridhiwani hafanani na baba yake..Makongoro hafanani na baba yake
haya mawazo ni mabovu kabisa
Umemsahau Le Mutuzu na Mzee Malechela!