Recent content by dudumizi 09

  1. D

    Vietnam: Mmiliki wa Tovuti ya kusambaza Filamu haramu akamatwa

    Download app inaitwa onstream inapatikana pia play store hii ina movie zote mpya hapa nimetoka kumaliza kuangalia squid game s2
  2. D

    INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

    Mna miche ya parachichi inayoweza kustahimili hali ya hewa ya dar es salaam
  3. D

    TANZIA Diego Maradona afariki dunia

    R. I. P Mwamba wa soka
  4. D

    Mpaka Kifo Kitakapo tutenganisha - Mpango wa Dalia Dippolito kumuua mme wake

    Kitu kimenisikitisha hapo ni huyo kahaba kufungwa miaka anayo stahili kufungwa mwizi wa kuku [emoji24] Huyu ilitakiwa apigwe miaka 40+
  5. D

    Naomba ushauri: Kati ya infinix hot 10 vs samsung a11 ipi nichukue?

    Chukua infinix bob achana na wakariri kampuni angalia specifications
  6. D

    TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

    Mungu Amlaze pema peponi Mzee wa Ukweli na Uwazi.... Ame acha pengo kubwa mno.. Magufuli kapoteza mshauri muhimu sana
  7. D

    GE2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Joshua Nasari usaliti umemtokea puani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyambafuuu
  8. D

    Kajenga katika kiwanja cha mwanamke kinachomtokea utamhurumia

    Kaka ataletaje madem visu wakati jamaa ndio hvyo mpunga umekata mkopo una mtafuna... Hao wadada visu bila hela utawatoa wapi
  9. D

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Nenda mtaa wa mchikichi kkoo maeneo ya msikiti wa kiblaten maduka yapo kibao maeneo yale
  10. D

    Wanjera, nothing special

    Upuuzi mtupu pale.... Haina jipya ... Bora Mara mia video ya salima Linex ft diamond
  11. D

    Idea ya kutembeza viatu kwa kutumia baskeli

    Asante husninyo.. Kwahiyo mfumo huu wa biashara TRA wana ukubali na wala manispaa hawata nisumbua??
  12. D

    Idea ya kutembeza viatu kwa kutumia baskeli

    Wasalam wana bodi; Kuna wazo ninalo, niina mpango wa kuuza viatu vya mtumba kwa kutumia baskeli, mfano Kama wa zile za Azam wanazouziaga Ice cream. Ipo hivi; Nataka kuunda baskeli kwa mfumo ule lakini juu natengeneza vizuri kwa kutumia Alminium na vioo, then napanga viatu. natafuta mtu...
  13. D

    Nape Nnauye na hadithi za Alinacha

    Nepi nae Hajuagi anacho zungumza ni mbwabwajaji tu
  14. D

    UKAWA kukutana punde kukanusha propaganda

    Ha ha haaaaaa pinder jasho mpaka......
Back
Top Bottom