UKAWA kukutana punde kukanusha propaganda

UKAWA kukutana punde kukanusha propaganda

Jioni ya leo umeanzishwa uzi huu hapa:


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-ripoti-ya-escrow-kujadiliwa-bungeni-15.html

Ukijaribu kututoa katika mapambano yanayoendelea dhidi ya wezi wa Escrow,

Marandu amethibitisha kuwa taarifa hizi ni za kizushi,Mbowe yupo njiani toka south Korea ili kuongeza nguvu kuhakikisha mjadala wa escrow unafanyika na Mungu akipenda kesho atakuwa bungeni.

Hakuna kesi ya IPTL iliyofunguliwa leo, jana ama juzi,

Kwakuwasaidia tu, nikuwa kila mtu na asimame ahesabiwa,

Hawa ni sehemu nyingine ya wanufaika wa escrow

Salute kubwa sana Mkuu Yericko Nyerere, kuna wahuni mtandaoni wanataka kumchafua mpambanaji wetu Mbowe

 
Ndiomaana tunakuamini mkuu yeriko,endelea kuichana live hii misukule ya magamba. Watu tunalia hospitali hazina dawa wanafunzi hawana vitabu wanakaachini walimu mishahara midogo alafu mijitu ilaleta masihala humu serious ishu kwa kupost taarifa za kijinga.
 
Ccm leo nimepambana nao wakiwa kumi vigo wa vijiji, vitongoji, kata, wilaya, tukiwa kwenye kilio so naanza kukomaa
 
Ha ha haaaaaa pinder jasho mpaka......
 

Attachments

  • 1416850580849.jpg
    1416850580849.jpg
    91 KB · Views: 312
Toka lini UKAWA wakakanusha "poropaganda?" si huwa wanapuuza tu?
 
Chap chap wana ukawa mdharau mwiba huota tezi dume wazee
Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi
 
Mkuu YN Ukawa tupo makini dhidi ya propaganda chafu za mafisadi
 
Si ni wale wapuuzi wa buku saba! Halafu wakaja wakaanZa kutoa povu hapa. Hata hivyo sioni sababu ya Ukawa kuuutolea tamko huuu utumbo, hawa ni size yetu

Yaani Buk 7 ni mazwazwa kweli! Yaani Luge alikuwa anagawa fedha za wizi kama hana akili nzuri wao buk 7 wako radhi uwatoe roho wakitetea
 
Mbowe apinge kuwa hajapokea mzigo wa 1.5bilion sio ukawa.

Huu mtandao jamani ni mkubwa sana. Ni syndicate ambayo ina mirija mirefu sana.
Ukiangalia hiyo list kuna mpaka mapolisi, wakurugenzi mawizarani na watu wa kanisa.
Tutapona kweli kwa hali hii? ??
 
Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi

Inanishangaza huyu alikuwa analipa 40,425,0000 kila mmoja? wote walikuwa na mahitaji sawa? On Rashid yeye ni 80,450,000 yaani mara mbili? Nimeustukia huu uzi.
 
Back
Top Bottom