Naomba ushauri: Kati ya infinix hot 10 vs samsung a11 ipi nichukue?

muokotamatunda

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,579
1,142
Habari wana jamii humu ndani, naomba ushauri: Kati ya infinix hot 10 vs samsung a11 ipi nichukue? Nipo mkoani, hizo uzote bei ni moja, laki 3 na elfu 70.

Pia ikiwezekana ushauri ulenge kwenye specs na ubora, karibuni ndugu zangu.
 
Acha mzaha mara moja! Infinix pamoja na Tekno siyo simu.Kama upo serious uwe unanunua kati ya brand hizi hapa:

1.Huawei
2.Samsung
3.iphone
4.xiaomi
5.Oppo
6.Vivo

Nunua hiyo Samsung
Asante kwa ushauri mkuu,pia vipi ubora wa kwa upande wa sumsung maana naona kwenye hii a11 kuna camera 3, infinix naona zipo nyingi,je unazungumziaje hapo.
 
Kwakuwa hio a11 specification Zake zimekaa kitekno teckno naona uchukue infinix hot 10 ina 3 ram na internal 64 display 6.7 IPS LCD
Na a11 ina 2ram na internal 32

Display 6.4 TFT sio super amoled kama tulivyozoea kwa samsung
 
Habari wana jamii humu ndani, naomba ushauri: Kati ya infinix hot 10 vs sumsung a11 ipi nichukue? Nipo mkoani, hizo uzote bei ni moja, laki 3 na elfu 70,
pia ikiwezekana ushauri ulenge kwenye specs, na ubora, karibuni ndugu zangu.
muonekano wa hizo simu wadau.View attachment 1631734
Screenshot_20201121-215042.jpg
 
Asante kwa ushauri mkuu,pia vipi ubora wa kwa upande wa sumsung maana naona kwenye hii a11 kuna camera 3, infinix naona zipo nyingi,je unazungumziaje hapo.
Tecno na infinix wamewekeza kwenye camera ndiyo lakini wanatumia processor za hovyo ndiyo maana huwa unaona baada ya muda mfupi tu huwa zinaanza kuzingua,mara ipate joto sana,mara izime yenyewe,etc.Simu ni processor
 
Tecno na infinix wamewekeza kwenye camera ndiyo lakini wanatumia processor za hovyo ndiyo maana huwa unaona baada ya muda mfupi tu huwa zinaanza kuzingua,mara ipate joto sana,mara izime yenyewe,etc.Simu ni processor
Asante kwa maoni na ushauri.
 
Kwakua hio a11 specification Zake zimekaa kiteknoteckno naona uchukue infinix hot 10 ina 3ram na internal 64 display6.7 IPS LCD
Na a11 ina 2ram na internal 32
display 6.4 TFT sio super amoled kama tulivyo zoea kwa samsung
Moyo wa simu ni RAM pamoja na aina ya processor iliyopo ndani.Tecno pamoja na infinix huwa wanatumia processor za hovyo ndiyo maana baada ya muda mfupi sana simu hizo huwa zinaanza kuzingua.Hiyo samgsung amesema kuwa ina ram ya 3gb,anapaswa achukue hiyo kwa sababu internal memory siyo issue sana.Imagine unanunua tecno au infinix ya 64gb halafu baada ya mwaka mmoja inaanza kuzingua.Infinix pamoja na tecno siyo simu.
 
Habari wana jamii humu ndani, naomba ushauri: Kati ya infinix hot 10 vs sumsung a11 ipi nichukue? Nipo mkoani, hizo uzote bei ni moja, laki 3 na elfu 70,
pia ikiwezekana ushauri ulenge kwenye specs, na ubora, karibuni ndugu zangu.
Baina ya hizo mbili mkuu perfomance hio infinix ni nzuri kuliko A11, Display pengine zinalingana, zote below average.

Na A11 kwa 370k ghali sana mkuu.

Kwangu mimi naona zote mbili sio choice nzuri kwa hio budget,

Unaweza kuagizia Kenya Mkuu? Kama una mtu unamfahamu redmi note 8 ama redmi 9 ni simu nzuri zaidi kwa bei rahisi zaidi. Around 300k mpaka 350k unazipata.
 
Hapo kama ulijichanganya kwa Samsung umeumia hizo zote nmezitumia ila infinix ana afadhali hapo
 
Baina ya hizo mbili mkuu perfomance hio infinix ni nzuri kuliko A11, Display pengine zinalingana, zote below average.

Na A11 kwa 370k ghali sana mkuu.

Kwangu mimi naona zote mbili sio choice nzuri kwa hio budget,

Unaweza kuagizia Kenya Mkuu? Kama una mtu unamfahamu redmi note 8 ama redmi 9 ni simu nzuri zaidi kwa bei rahisi zaidi. Around 300k mpaka 350k unazipata.
Alete pesa pungufu ya hapo kama yuko serious atapata redmi note 9 4g (chinese version).
Changamoto za hii simu , 1 ni chinese version hivo google service ni kiepngele na pia tunachofanya kwa mimi kutokana na kua sijaroot sim natumia aptoide store.
2.Simu iliangushwa ikapata kreki kidogo kwenye kioo ila hakidhuru chochote kabisa katika kuitumia isipokua muonekano ndio unachukiza .
Bei haitazidi laki mbili ili upate pesa ya kununua kioo na ufundi storage yake ni 128
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom