Recent content by dtj

  1. dtj

    Series (Special thread)

    Mkuu! Umeshusha kutoka site gani kaka?
  2. dtj

    Series (Special thread)

    Wakuu. Mbadala wa Awafim ni nini? Nipate site nzuri nishushe mizigo kwa mb chache
  3. dtj

    Series (Special thread)

    Mimi nimeitizama episode 2 nikaifuts kabisa. Imepooooa sana.
  4. dtj

    Serikali itoe muongozo wa lugha rasmi za kufanyia siasa, Lissu anafanya siasa za kikabila Singida, anatumia lugha Kinyaturu

    Mkuu hapo hajahalalisha kosa, amefanya rejea. Sasa wewe mjibu kwakutumia rejea. Ndio mijadala inaenda hivi.
  5. dtj

    Series (Special thread)

    Awafim.tv
  6. dtj

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Ukipata tikitimaji hapo shughuli imeisha[emoji3]
  7. dtj

    Fani ya tehama kuwa kama utapeli

    Unahoja nzuri! Tatizo uwasilishwaji wake!
  8. dtj

    Nimepata pasi ya kusafiria (Electronic passport)

    Passport ni jambo rahisi kupata! Na kama kuna changamoto basi kwenye mfumo kuna namba za simu. Wewe utafutwe kwa lipi? UTAPELI!
  9. dtj

    Msaada: Ripoti ya mwaka ya Asasi zisizo za kiserikali (NGO’s)

    Kwani mwaka si unaishia June? Kiserikali na pia ki asasi. Hivyo piga hesabu ulisajili mwezi gani kwa zaidi Njoo pm tuelekezane.
  10. dtj

    Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

    Yesu mwenyewe anasema imetupasa kuomba bila kuchoka, Mungu kupitia nabii isaya anasema tumkumbushe, tujadiliane atupe haki yetu. Wewe unasema tunakosea? Hii imekaaje?
  11. dtj

    Nafasi zipi za kazi zipo ndani ya kiwanda cha maziwa?

    Naomba kujuwa! Una kiwanda? Au lengo la kujua haya ni nini?
  12. dtj

    Muda wote tu unawaza Kusafiri 'Majuu' kwanini huku nyuma Wajanja 'wasikupige' na Kujitajirisha?

    Nyie wote ndio wanyonge aliosema mwenda zake. Yaani mmekaa mnamuangalia anawafanya yote haya?
  13. dtj

    Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

    Kwani wapi kasema hakubaliani na Elimu au maarifa haya. Hoja yake ni dini tuu. Kwani vidole vyote vinafanana?
Back
Top Bottom