Recent content by dSamizi

  1. dSamizi

    Huruma: Makonda amepoteza marafiki zake wote

    Acha upumbavu
  2. dSamizi

    UGANDA: Msemaji wa Jeshi la Polisi auawa kwa risasi pamoja na walinzi wake wote

    Kwan amesema uongo... huo ndio uhalisia unadhan wote wanamioyo ya uvumilivu?
  3. dSamizi

    Kama Zanzibar sio nchi ni mkoa wa Tanzania au koloni la Tanganyika?

    Kama wanasema Zenji ni nchi inayounda muungano; wasubilie rais wa muungano kutoka Zenji! Lile koroni tu na kwa huu utawala magu kawanyoosha, tunaisoma namba wooote
  4. dSamizi

    Fixed deposit account vs Hati fungani, ipi ina faida zaidi?

    Humtakii kheri! Hisa bongo? Very risk. Ushauri chukua FDR _Fixed deposit bila shaka Barclays wanarate nzuri au ufuatilie kwa bank zenye uhitaji na deposit acha hii inayopigiwa promo na JPM ina rate ndogo ajabu.
  5. dSamizi

    PICHA: Athari ya mafuriko sehemu mbalimbali Dar es Salaam 13 Machi, 2017

    Posta napo ndo imechanganya ila imechelewa
  6. dSamizi

    Magufuli wana hasira na wewe, mpe Makonda Unaibu Waziri Mkuu, anaweza

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora umenena wewe!
  7. dSamizi

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Mbona mapambano ndo yamekolea! Kamishna yupo kazini tena kwa data nenda magazetin anakwambia 71%
  8. dSamizi

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Mimi ntaungana na ninyi mpaka yule mama mkuu wa idara aloambiwa kilaza akiombwa msamaha hadharani
  9. dSamizi

    Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda

    Kinachoniuma ni yule mama mkuu wa idara aloambiwa kilaza yaan nkikumbuka nnakua na hasira nae zaid ya mtoto wa Kabwe pia wauza unga!
Back
Top Bottom