Ukiachana na matusi yake.....the lady is so smart upstairs na anajua kuyapangilia madude yake, hiyo ipo wazi. I think we need more MANGES hata humu jukwaani....... Tumpe credit zake pale anapostahili.
Mhhh!!! Hili jipu hili.....Nahisi huyu ni mwanachama wa CHAWAPUTA kashachoka kutumia picha ya Sasha sasa anatamani aanze kufanya Mubashara. OBAMA ATAKUMALIZA WEWE!!!! Bora tu uendelee kujifungia bafuni na hiyo picha yake.
Mi nawashangaa sana hawa jamaa bhana.....WAMEINGIWA HOFU GHAFLA...Eti nyimbo YETU isitafsiriwe vibaya...ha haaahaaa!!!......WEUSI UTETEZI WENU UMESHACHELEWA BHANA....HADHIRA YENU IMEAMUA HIVYO, Kwani nyie mliwatungia akina nani???........ Nafahamu fika kuwa Utunzi wa kazi yoyote ya fasihi hubaki...
Kumuunga au kutomuunga Raisi mkono siyo jambo la kulazimishwa hata kidogo......endapo Raisi na wasaidizi wake wakisimamia na kufanya mambo yanayoakisi mahitaji halisi ya Wananchi, hakuna atakayewapinga tu hovyohovyo.....mimi nadhani RAISI ANAJIPINGA MWENYEWE na kujitukanisha kwa wananchi wake...
Etii kumuudhi......Khaaa!! Kwani sisi tunapangiwa cha kuposti? Kwanza bando watu tumeamua kununua wenyewe, Jf tukajiunga wenyewe, kwa hiyo hata asitushinikize kupost yanayompendeza yeye!! Kama anakereka mwambie tu apasuke maana hakuna namna....na kwa bahati mbaya hakuna mwananchi anayesuburi...
MASHAIRI YAKO HIVI........(Unaweza kurekebisha though)........
Wanasiasa Bungeni wengine ni……yooh….yooh! tu
Haters wakikosa cha kuongea nao ni……. yooh….yooh! tu
Mwalimu wa madada zenu naye ana…… yooh….yooh! tu
Kumbe hata nchi haiendelei utasainia clock…..switch flow na-make doo
Usinipangie...
Habari za wakati huu wakuu!! Nimekuwa nikifuatilia Jamii forums kwa muda sasa lakini mara zote nikiwa kama guest user.....siku za karibuni nilikata shauri na kuamua kujiunga kama mwanachama rasmi wa mtandao huu pendwa........Naomba mnipokee!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.