Ugeni: Naomba muongozo wenu wataalam

Drummer_Kid

Member
Mar 4, 2017
10
17
Habari za wakati huu wakuu!! Nimekuwa nikifuatilia Jamii forums kwa muda sasa lakini mara zote nikiwa kama guest user.....siku za karibuni nilikata shauri na kuamua kujiunga kama mwanachama rasmi wa mtandao huu pendwa........Naomba mnipokee!!
 
Hee mgeni kuja taratibu,haraka haraka haina baraka.

Unaulizia how safe u r ili iweje kwan haukuona max alivyotetea maslah ya members wa humu ulipokua guest? Maswali mengin ni kero ujue,ujuaji mwiiingi sio mzuri

Kubadili id na mengineyo nenda jukwaa la members only utajua nn cha kufanya

welcome and all the best
 
Hee mgeni kuja taratibu,haraka haraka haina baraka.

Unaulizia how safe u r ili iweje kwan haukuona max alivyotetea maslah ya members wa humu ulipokua guest? Maswali mengin ni kero ujue,ujuaji mwiiingi sio mzuri

Kubadili id na mengineyo nenda jukwaa la members only utajua nn cha kufanya

welcome and all the best

Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom