Recent content by Drogo

  1. Drogo

    Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

    Hivi kuna watu wanaamini masuala ya ndoq au mapenzi yana darasa!?
  2. Drogo

    Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

    Hii biashara ina ushetani mwingi sana, kuna dem alikuwa mzuri sana nikampa laki 7 kama mtaji aachane nw hiyo biashara, saa ngapi aitumie ile hela, tangu siku hiyo hawa watu sijawahi kuwaonea huruma hata siku moja
  3. Drogo

    Lissu familia ameiacha Ulaya halafu anahamasisha maandamano ya Wanyonge?

    Huwa mnamuogopa sana Lissu 😂😂
  4. Drogo

    Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

    Ni takwimu za mchongo hata hivyo, hizi gari wanazosema haziaminiki ndo gari imara kuliko hizo wanazosema haziamininiki, sema bei ndo kisanga
  5. Drogo

    CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

    Hivi kuna watu bado wanamjadili mtu aliyekufa!?
  6. Drogo

    Nimegundua maisha ya u-single ni mazuri na yana furaha. Wewe una mtazamo gani?

    Hii inapendezea uwe na hela sasa vinginevyo mh!
  7. Drogo

    Kula matunda tu usiku ni formular ambayo haiko applicable kwa hapa kwetu Afrika

    Njia nzuri ya kupunguza mwili ni kufanya mazoezi au kufunga basi
  8. Drogo

    Kulala miguu minne raha sana (ndoa tamu sana)

    Umeoa jana tu unasema ndoa tamu, tunakupa mda utakuja humu unasema mengine kuhusu ndoa
  9. Drogo

    Kwanini wanawake wamekuwa wakatili hivi?

    Tatizo mnaokotaokota sana acha maawazishwe
  10. Drogo

    Nimegundua maisha ya u-single ni mazuri na yana furaha. Wewe una mtazamo gani?

    Kuwa single ipi!? Au hii ya fucking bitches randomly without marring au kuwa peke yako tu!?
  11. Drogo

    Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

    Mzee ukiona watu wanaikataa ndoa usianze kusema sijui account nyingi, ndoa ilikuwa zamani tu lakini kwa life style ya sasa ndoa ni aina mpya ya utumwa, asilimia kama 80 ya ndoa za kisasa hazina furaha. Nasisitiza kataa ndoa ni utumwa
Back
Top Bottom