Usipende kuweka hela kwenye simu ni rahisi sana kushawishika kutumia. weka bank au kama ni kwenye simu weka kwenye akaunti kama m- power, kuliko kuweka kama salio la kawaida la m- pesa, tigo- pesa n.k. Pia angalia sana mambo ya bundles, kama hakuna ulazima usinunue, zinashawishi sana kutumia...
STRICTLY NO SEX BEFORE MARRIAGE. YAANI HAKUNA KUFANYA TENDO LA NDOA NJE YA NDOA. MSITAFUTE SABABU ZA KUHALALISHA HILO JAMBO.
HUYO MWANAUME ANAWEZAJA KUOA WAKATI ANAJIFAHAMU NI FUNCTIONLESS!! AU MSICHANA ANAANZAJE KUOLEWA WAKATI ANAJIFAHAMU ILE KITU HANA?
IKITOKEA HIVYO JIBU NI RAHISI TU, HIYO...
Pole ndg kwa kuchelewa kupata hitaji la moyo wako. Mwombe Mungu ila umwahidi kuwa huyo mtoto atakuwa mtumishi wake. Nakuhakikishia leo tu mimba ya mtoto wa kiume itatungwa, I am talking this with experience. Ila usifanye mzaha, maana Mungu si wa kudhihakiwa. I f you will be serious and believe...
But, what I know in Tanzania, our natural resources are almost proportional to the population growth. At least they can be used to give the relief of her citizens, rather than making the life too hard.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.