Msaada: Nimeitwa Written Interview Chuo Kikuu Mzumbe

Nadhani wanataka kuona uwezo wako wa kujieleza na pia ufahamu wako wa eneo hilo ambalo umeomba kazi. Labda unaweza kupewa swali kuhusu mfanyakazi A ambalo wewe kama AHRO unatakiwa ufanye maamuzi au utoe ushauri wako kwa management ya juu. Kila la heri.

Yea, uwezo wa kujieleza tena kwa Kithungu(in English)fasaha na siyo kuungaunga hii lugha muhimu ya kibiashara duniani, grammar safi and speak with confidence, be fluent kama Mkapa au Nyerere Mwl! ili wakati upo kazini na unapenda majukumu ya kuajiri uweze kutoa interview iliyonyooka in order to pick the right candidates for employment.
 
Si vema kushukuru kwa kila jambo ni mtazamo, hisia mbaya pia zina uzuri wake, kuna vitu vingi mtu anaweza kupata lakini yote inatokana na vingi alivovikosa na kuviacha uko nyuma.

Written interview mara nyingi kama sio zote ina lenga technical parts(courses) ulizosoma darasani.

Hiyo pitia zaidi mambo uliyofubdishwa chuoni. Ingekuwa ni private ama taasis za kigeni mf .NGOS.....ningekushauri vingine.

Pia wapaswa kurudia kusoma tangazo la kazi kujua majukumu ya nafasi tajwa, pili ijue historia ama mission & vision ya chuo husika na administration structure kwa juuu juu tu ikiwezekana.

Tambua nafasi hiyo inalipwa mshahara kiasi gani pia ukiulizwa swali hilo usitaje kiwango exactly bali unataja range may be from 700-1.2m.

Zaidi maswali yafuatayo yanaweza kuulizwa katika oral interview
1. Why we should recruits you not any other
2. What's will you do with such posts at our university
3. What's your greatest achievement
4.what's are your weaknesses
5.what's are your strong area
5.How do you master your stresses
6.What's changes will u brings
,7. Have u ever did a mistake? What's was it ? What your learnt......
8. If you miss this post what will you do?........I will let myself dying
9. What's motivates people to do job?
Is there a difference between full half & half full? Job & work

Tape measure mbona kama unasoma/ulisoma shule ya kata, lugha huna kabisa it would have been better if you had just advised the person in your language - Kiswahili - kweli Bongo tuna matatizo!!!!
 
Tape measure mbona kama unasoma/ulisoma shule ya kata, lugha huna kabisa it would have been better if you had just advised the person in your language - Kiswahili - kweli Bongo tuna matatizo!!!!
Kwahiyo wahitimu wa shule za kata hatujui lugha?
 
Interview ina lenga kumpima mtahiniwa uwezo wake physically mbali na CV aliyonayo. Suala la kuomba upewe maswali yanayoulizwa haina tofauti na wizi wa Mtihani. Isitoshe, hiyo ni Taasisi ya Elimu ya juu inahitajika mtu aliye competent, mwenye uwezo mzuri. Ni kupitia Interview hiyo ndipo anapatikana mtu sahihi zaidi. Any way, najua maelezo yangu hayo hayatakupendeza. Ngoja nikupe sasa ushauri bora kuliko huo wa kupewa maswali na kueleza huwa inakuaje.

Ushauri wenyewe ni huu; Kama interview ni kesho, basi hakikisha siku ya leo unakula chakula kizuri na maji ya kutosha, baada ya hapo lala mapema ili kesho uamke afya yako ikiwa njema. Kuanzia sasa Mkumbuke Muumba wetu, jaribu kuwasiliana naye kupitia SALA na umweleze haja yako. Kama ni mapenzi yake Muumba, yeye atakufunulia kila lililo jema na kukufanya mshindi katika haja yako.

Ukishafanikiwa na ukapata kazi usimsahau Muumba wetu. Endelea kujinyenyekeza kwake na usijione u mshindi tayari na kumsahau. Maana kuna watu walidhani wametoboa maisha baada ya kufanikiwa na kumsahau Muumba baadae wakaandamwa na magonjwa, misiba, hasara kazini n.k. Ni ushauri tu, unaweza kuukaubali au kuukataa. Ila Mungu atabaki kuwa Mungu. Ubarikiwe, na Interview njema.
Just be confidence lady. There is nothing strange there, if you are skilled enough. But keep God ahead. OK!
 
Habari za siku watu wangu wa JF.
Napenda kuwapa mrejesho wa kilochotokea katika usaili wa Afisa Utumishi pale chuo kikuu Mzumbe.

Maswali yalikuwa manne na tulipaswa kufanya matatu huku swali la kwanza likiwa ni la lazima.

Kifupi maswali yalikuwa yakihitaji ufahamu na uzoefu wa kutatua mambo yakiHR. Pia nilikuwa na swali la current affairs lililohusu Watumishi Hewa lakini alitumia msamiati wa "Ghost Workers" so kwa wale wafuatiliaji wa mambo pepa ilimuwa kawaida.

Lakini tumuombe Mungu maana usahihishaji pia unamambo yake. Ahsanteni sana.....
 
Habari za siku watu wangu wa JF.
Napenda kuwapa mrejesho wa kilochotokea katika usaili wa Afisa Utumishi pale chuo kikuu Mzumbe.

Maswali yalikuwa manne na tulipaswa kufanya matatu huku swali la kwanza likiwa ni la lazima.

Kifupi maswali yalikuwa yakihitaji ufahamu na uzoefu wa kutatua mambo yakiHR. Pia nilikuwa na swali la current affairs lililohusu Watumishi Hewa lakini alitumia msamiati wa "Ghost Workers" so kwa wale wafuatiliaji wa mambo pepa ilimuwa kawaida.

Lakini tumuombe Mungu maana usahihishaji pia unamambo yake. Ahsanteni sana.....
Vipi walishakuita oral?? Maana nasikia waliita watu jumatatu iliyopita sjui ni kweli
 
Interview ina lenga kumpima mtahiniwa uwezo wake physically mbali na CV aliyonayo. Suala la kuomba upewe maswali yanayoulizwa haina tofauti na wizi wa Mtihani. Isitoshe, hiyo ni Taasisi ya Elimu ya juu inahitajika mtu aliye competent, mwenye uwezo mzuri. Ni kupitia Interview hiyo ndipo anapatikana mtu sahihi zaidi. Any way, najua maelezo yangu hayo hayatakupendeza. Ngoja nikupe sasa ushauri bora kuliko huo wa kupewa maswali na kueleza huwa inakuaje.

Ushauri wenyewe ni huu; Kama interview ni kesho, basi hakikisha siku ya leo unakula chakula kizuri na maji ya kutosha, baada ya hapo lala mapema ili kesho uamke afya yako ikiwa njema. Kuanzia sasa Mkumbuke Muumba wetu, jaribu kuwasiliana naye kupitia SALA na umweleze haja yako. Kama ni mapenzi yake Muumba, yeye atakufunulia kila lililo jema na kukufanya mshindi katika haja yako.

Ukishafanikiwa na ukapata kazi usimsahau Muumba wetu. Endelea kujinyenyekeza kwake na usijione u mshindi tayari na kumsahau. Maana kuna watu walidhani wametoboa maisha baada ya kufanikiwa na kumsahau Muumba baadae wakaandamwa na magonjwa, misiba, hasara kazini n.k. Ni ushauri tu, unaweza kuukaubali au kuukataa. Ila Mungu atabaki kuwa Mungu. Ubarikiwe, na Interview njema.
Umempa ushauri mwingi lakini umeshau kumwambia aanze kupitia aliyokuwa anayasoma kwenye course yake na pia ya muhimu yaliyo nje ya course yake
 
Interview ina lenga kumpima mtahiniwa uwezo wake physically mbali na CV aliyonayo. Suala la kuomba upewe maswali yanayoulizwa haina tofauti na wizi wa Mtihani. Isitoshe, hiyo ni Taasisi ya Elimu ya juu inahitajika mtu aliye competent, mwenye uwezo mzuri. Ni kupitia Interview hiyo ndipo anapatikana mtu sahihi zaidi. Any way, najua maelezo yangu hayo hayatakupendeza. Ngoja nikupe sasa ushauri bora kuliko huo wa kupewa maswali na kueleza huwa inakuaje.

Ushauri wenyewe ni huu; Kama interview ni kesho, basi hakikisha siku ya leo unakula chakula kizuri na maji ya kutosha, baada ya hapo lala mapema ili kesho uamke afya yako ikiwa njema. Kuanzia sasa Mkumbuke Muumba wetu, jaribu kuwasiliana naye kupitia SALA na umweleze haja yako. Kama ni mapenzi yake Muumba, yeye atakufunulia kila lililo jema na kukufanya mshindi katika haja yako.

Ukishafanikiwa na ukapata kazi usimsahau Muumba wetu. Endelea kujinyenyekeza kwake na usijione u mshindi tayari na kumsahau. Maana kuna watu walidhani wametoboa maisha baada ya kufanikiwa na kumsahau Muumba baadae wakaandamwa na magonjwa, misiba, hasara kazini n.k. Ni ushauri tu, unaweza kuukaubali au kuukataa. Ila Mungu atabaki kuwa Mungu. Ubarikiwe, na Interview njema.



Safi sana kk unamaneno yenye hekma
 
Si vema kushukuru kwa kila jambo ni mtazamo, hisia mbaya pia zina uzuri wake, kuna vitu vingi mtu anaweza kupata lakini yote inatokana na vingi alivovikosa na kuviacha uko nyuma.

Written interview mara nyingi kama sio zote ina lenga technical parts(courses) ulizosoma darasani.

Hiyo pitia zaidi mambo uliyofubdishwa chuoni. Ingekuwa ni private ama taasis za kigeni mf .NGOS.....ningekushauri vingine.

Pia wapaswa kurudia kusoma tangazo la kazi kujua majukumu ya nafasi tajwa, pili ijue historia ama mission & vision ya chuo husika na administration structure kwa juuu juu tu ikiwezekana.

Tambua nafasi hiyo inalipwa mshahara kiasi gani pia ukiulizwa swali hilo usitaje kiwango exactly bali unataja range may be from 700-1.2m.

Zaidi maswali yafuatayo yanaweza kuulizwa katika oral interview
1. Why we should recruits you not any other
2. What's will you do with such posts at our university
3. What's your greatest achievement
4.what's are your weaknesses
5.what's are your strong area
5.How do you master your stresses
6.What's changes will u brings
,7. Have u ever did a mistake? What's was it ? What your learnt......
8. If you miss this post what will you do?........I will let myself dying
9. What's motivates people to do job?
Is there a difference between full half & half full? Job & work


Mkuu hii APOSTROPHY hujaitendea haki kabisa
 
Mambo marafiki,

Mwaka jana Mzumbe University walitangaza nafasi katika kada mbalimbali, mimi niliomba Assistant Human Resource Officer. Hatimae jana nimepigiwa simu ili nijiandae kwa Written Interview mwezi ujao.

Naomba kwa wazoefu na wanaojua natakiwa kujiandaa kwa maswali gani na nitegemee mtihani wa namna gani?

Asanteni sana.....
Hutapata utakachokutana nacho..uzoefu alojutana nao mtu mwingine kwenye interview si utakachokutana nacho wewe.hapo ni wewe na MUNGU tu basi.japo kwa ushauli usiingie chumba cha kutahiniwa kwa hofu,ingia kwa kujiamini kama mwajili tayali.
 
Bro kuna kitu kinaitwa insourcing and outsourcing employment kama unamaterial hayo yapitie na pia maswali yote yanatokana na field yako
 
Ndugu,
Vipi ulifanikliwa kufanya interview ? Vipi majibu ? Ni vizuri kuleta mrejesho maana kabla ya interview ulikuja pia hapa na kusema kutokana na umuhimu wake.! Haijalishi ulipata au ulikosa,leta tu mrejesho jinsi ulivyo.!
 
Ndugu,
Vipi ulifanikliwa kufanya interview ? Vipi majibu ? Ni vizuri kuleta mrejesho maana kabla ya interview ulikuja pia hapa na kusema kutokana na umuhimu wake.! Haijalishi ulipata au ulikosa,leta tu mrejesho jinsi ulivyo.!
Anawezaje kupata feedback kama alikosa? Taasisi zetu huwa haziwapi mrejesho wasailiwa.
 
Ndugu,
Vipi ulifanikliwa kufanya interview ? Vipi majibu ? Ni vizuri kuleta mrejesho maana kabla ya interview ulikuja pia hapa na kusema kutokana na umuhimu wake.! Haijalishi ulipata au ulikosa,leta tu mrejesho jinsi ulivyo.!
Mpaka sasa hakuna majibu kimya kimetanda watu wengi waliofanya hawajapewa majibu hata wa kada nyinginezo.
 
Back
Top Bottom