Recent content by Dragondreamx

  1. Dragondreamx

    Utaratibu wa kodi baada ya kupokea mzigo Posta ukoje?

    Bro upo mkoa gani.. ila huo nenda na 30k Watoe hapo upewe mzigo wako Usipende kuwa straight sana utaumia
  2. Dragondreamx

    Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga

    Kwa jinsi navyochuka mamlaka za ulinzi nasubir vurugu zianze
  3. Dragondreamx

    Wanaowatetea machinga kuondolewa maeneo yasiyo rasmi kwa biashara wana uelewa mdogo

    Mji kupumua na wengine kukosa rizik.. ww na sabaya mfiraji hamna tofauti
  4. Dragondreamx

    Discovery family - DSTV

    Icho kipindi kitamu sana 136
  5. Dragondreamx

    Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

    Watu wanarogewa kunywa pombe ili awe kama zuzu... no kuwaza maendeleo We utawaza pombe na ngono tuu..
  6. Dragondreamx

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wangenipa ile penalty ningemaliza ndani ya dk 90
  7. Dragondreamx

    Posta Tanzania mnafanya kazi kienyeji sana. Huu ni upuuzi

    Shirika la posta tanzania Linazingua sana ukiagiza kitu china kinatumia siku 7-11 kufika hapa tanzania ila kukipata hapa Arusha hutumia zaidi ya wiki mbili
  8. Dragondreamx

    Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

    Biashara uje ufanyie kwangu alaf faida nile kidogo HAIWEZEKANI Ukisoma sana naona kama unakuwa na akili za kitoto
  9. Dragondreamx

    Rais Magufuli: Baada ya siku 60 Bodi za Mashirika yasiyotoa gawio zijivunje zenyewe

    Huku ni kuzugana TOA MFUKO HUU WEKA MFUKO HUU
  10. Dragondreamx

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Nashindwa kuelewa ni kwanini Xiaomi wamekwama kwenye kioo cha 90hz refresh rate QHD
  11. Dragondreamx

    Google Pixel phones/devices ni smartphone nzuri kushinda zote

    G/pixels mnyama hiyo ni kwa wanaojua tuu
Back
Top Bottom