MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,543
- 3,339
Ni kweli wana familia waachwe wafanye biashara kila mahali, pia wauza bangi,mirungi,unga na gongo waachwe wafanye biashara maana wana familia zinazo wategemeaWell Said;
Itapendeza *TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA PEMBEZONI mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo...