42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Dah hawa jamaa wamenikera mno.
Mwezi wa 8 niliagiza mzigo China, Ulifika Tangu siku 10 zilizopita. Nikaenda Posta HQ wakaomba Tracking namba nikawapa, wakaangalia wakakuta kweli umefika. Nikaandikiwa namba ya mzigo na nikaelekezwa ofisi ya kwenda kuchukua mzigo wangu palepale HQ.
Sasa kwenda kuchukua mzigo nikaambiwa Mizigo imefungiwa kwa sababu kuna upande wanafanya ukarabati. Kutoka siku hiyo kila nikienda ni lugha ni "bado hawajamaliza ukarabati" na kibaya zaidi hawasemi kwamba huo ukarabati unaisha lini.
Aiseee hawa jamaa wanazingua kishenzi.
Mwezi wa 8 niliagiza mzigo China, Ulifika Tangu siku 10 zilizopita. Nikaenda Posta HQ wakaomba Tracking namba nikawapa, wakaangalia wakakuta kweli umefika. Nikaandikiwa namba ya mzigo na nikaelekezwa ofisi ya kwenda kuchukua mzigo wangu palepale HQ.
Sasa kwenda kuchukua mzigo nikaambiwa Mizigo imefungiwa kwa sababu kuna upande wanafanya ukarabati. Kutoka siku hiyo kila nikienda ni lugha ni "bado hawajamaliza ukarabati" na kibaya zaidi hawasemi kwamba huo ukarabati unaisha lini.
Aiseee hawa jamaa wanazingua kishenzi.