Recent content by Dr leader

  1. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Shairi: Walimwengu ndio wabaya

    Walimwengu ndo wabaya Jama nipo mahututi, tena ndani icuu Mekurubia mauti, nahema kwa juu juu Siwezi swali kunuti, Mola anipe nafuu Dunia haina baya, walimwengu ndo wabaya Wamenipiga ulozi, ule wa chuo kikuu Kwa uchanga kimalezi, sijafikia wakuu Nipo mbali na wazazi, kwa mamita elfuu Dunia...
  2. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    uko location gani tukushauri
  3. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Usifanye haya mbele ya Maji

    Nimebandika pia Facebook
  4. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Usifanye haya mbele ya Maji

    Muhimu yawe maji ambayo hayajabadilika jina kama bia au chai
  5. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Usifanye haya mbele ya Maji

    hii ni asili japo hata wewe unaweza jinenea
  6. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Usifanye haya mbele ya Maji

    😀😀😀😀
  7. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Usifanye haya mbele ya Maji

    Usiwahi Kunywa Maji yaliyopo Mbele yako mara baada ya kuongea Maneno hasi.. ukizungumza ukiwa na hasira kali mawazo mabaya, Maji huwa na tabia ya kufyonza kila mtetemo wa kila neno ulilotoa. Ikiwa Utazungumza Maneno hasi huku Maji yapo pembeni, Kisha ukabeba Maji hayo na kuyanywa basi...
  8. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Wenye nguvu ya akili

    Tuma sadaka yako hapo
  9. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Wenye nguvu ya akili

    Mambo 6 Watu Wenye Nguvu ya Akili Hufanya: 1. Hawapotezi muda kujihurumia. Wanajifunza kuendelea mbele. 2. Wanakubali mabadiliko. Wanapokea changamoto kwa moyo wazi. 3. Wanabaki na furaha. Hawapotezi nguvu kwenye vitu ambavyo hawawezi kuvibadilisha. 4. Wana upole na haki, na...
  10. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Tafakuri

    Umejibu vyema kabisa
  11. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Tafakuri

    Tafakuri ❝Je, kama ningezaliwa katika dini nyingine kabisa, nikakulia humo na nikafa nikiwa bado kwenye dini hiyo — je, kwa mujibu wa dini nyingine nitahesabika nimepotea au kwenda motoni? Na kama Mungu ndiye aliyeniumba, kwa nini tena aje kuniadhibu kwa kitu ambacho mazingira yangu ndiyo...
  12. Dr leader

    JamiiForums Tanzania You vs you

    naaam
  13. Dr leader

    JamiiForums Tanzania You vs you

    Kitu hatari zaidi kuhusu low self-esteem si kujiamini kidogo. Ni jinsi inavyoweza kutawala maisha yako kimya kimya bila hata wewe kugundua. Low self-esteem inaweza kumfanya mtu mzuri ajione hastahili kupendwa. Mtu mwenye kipaji ajione hana thamani. Mtu mwenye akili ajikute anajitilia mashaka...
  14. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Ningejifunza haya kabla ya kufika 30

    Ndio mtumishi
  15. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Ningejifunza haya kabla ya kufika 30

    MAMBO 6 NINGEJIFUNZA KABLA YA KUFIKA MIAKA 30 NAMBA 1 Mwanamke anayekupenda kwa dhati, huwa tayari kubadilika kwa ajili yako. Atarekebisha tabia yake, sauti yake, mienendo yake na kila kitu kinachoweza kuhatarisha kukupoteza. Mapenzi ya kweli huambatana na jitihada za kulinda uhusiano. NAMBA...
Back
Top Bottom