MKE WANGU KAOLEWA
Namuombea laana, yeye na kizazi chake
Asipate cha maana, yeye na wazazi wake
Naamba kwa maulana, kumhusu mja wake
Mke wangu kaolewa
Nilifanya kila hali, wao wapate amani
Haramu au halali, chakula kiwe tumboni
Kupata sio sahali, hakuridhika mwandani
Mke wangu kaolewa
Bora...