Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 1,077
- 1,444
Watu wengi huchanganya, FREQUENCY NA ENERGY
Ngoja nikueleze hapa kwa lugha rahisi :
Energy ni nguvu.
Kila kitu duniani kina energy.
Mwili wako una energy.
Maneno yana energy.
Mawazo yana energy.
Hata sehemu unazotembelea inaweza kuwa na energy nzuri au mbaya.
Ndiyo maana:
Kuna watu ukikaa nao dakika 5 tu unahisi amani.
Na kuna wengine ukitoka kwao unahisi umechoka bila sababu.
Energy yako huonekana kupitia:
Hisia zako
Namna unavyoongea
Confidence yako
Mood yako
Presence yako
Mtu mwenye energy kubwa:
Huwa na mvuto
Ana kujiamini
Watu humsikiliza kirahisi
Anaonekana “ana nuru”
Mtu mwenye energy mbovu:
Huwaza sana
Ana hasira au huzuni muda mwingi
Hukata tamaa haraka
Huvuta mazingira mabaya
Frequency ni kiwango au mtetemo wa hiyo energy.
Kisayansi, kila kitu kinatetema kwa kiwango fulani.
Mfano : Radio ikitaka kushika station fulani lazima iwe kwenye frequency sahihi.
Na maisha ni hivyo hivyo.
Ukijaa:
hofu,
chuki,
wivu,
stress,
unakuwa kwenye “low frequency”.
Lakini ukijaa:
amani,
shukrani,
upendo,
kujiamini,
malengo,
unakuwa kwenye “high frequency”.
Frequency yako huathiri:
Namna watu wanavyokupokea
Maamuzi unayofanya
Nafasi unazovuta kwenye maisha
Hata mahusiano yako
Ndiyo maana:
Watu wenye mawazo yanayofanana huvutana.
Mtu mwenye negativity nyingi huvuta drama nyingi.
Mtu mwenye utulivu mara nyingi huvuta opportunities nzuri
Ukijaza akili yako giza, utaliishi giza.
Ukijaza akili yako nuru, utaiishi nuru.
Ukiwa na watu mwenye low energy mawimbi ya mtetemo yataivuta low energy kwako pia
Kila kitu kina energy halafu frequency ni njia ya kusafirisha hiyo energy kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine
Attena yako ikikaa kwenye Frequency sahihi itashika channels bila chenga utaona HD
Na kinyume chake ni hivyo hivyo.
Abuuabdillah ✍️
0744 883 353
Ngoja nikueleze hapa kwa lugha rahisi :
Energy ni nguvu.
Kila kitu duniani kina energy.
Mwili wako una energy.
Maneno yana energy.
Mawazo yana energy.
Hata sehemu unazotembelea inaweza kuwa na energy nzuri au mbaya.
Ndiyo maana:
Kuna watu ukikaa nao dakika 5 tu unahisi amani.
Na kuna wengine ukitoka kwao unahisi umechoka bila sababu.
Energy yako huonekana kupitia:
Hisia zako
Namna unavyoongea
Confidence yako
Mood yako
Presence yako
Mtu mwenye energy kubwa:
Huwa na mvuto
Ana kujiamini
Watu humsikiliza kirahisi
Anaonekana “ana nuru”
Mtu mwenye energy mbovu:
Huwaza sana
Ana hasira au huzuni muda mwingi
Hukata tamaa haraka
Huvuta mazingira mabaya
Frequency ni kiwango au mtetemo wa hiyo energy.
Kisayansi, kila kitu kinatetema kwa kiwango fulani.
“Everything is vibration.”
Mfano : Radio ikitaka kushika station fulani lazima iwe kwenye frequency sahihi.
Na maisha ni hivyo hivyo.
Ukijaa:
hofu,
chuki,
wivu,
stress,
unakuwa kwenye “low frequency”.
Lakini ukijaa:
amani,
shukrani,
upendo,
kujiamini,
malengo,
unakuwa kwenye “high frequency”.
Frequency yako huathiri:
Namna watu wanavyokupokea
Maamuzi unayofanya
Nafasi unazovuta kwenye maisha
Hata mahusiano yako
Ndiyo maana:
Watu wenye mawazo yanayofanana huvutana.
Mtu mwenye negativity nyingi huvuta drama nyingi.
Mtu mwenye utulivu mara nyingi huvuta opportunities nzuri
“Unakuwa kile unachokitafakari kila siku.”
Ukijaza akili yako giza, utaliishi giza.
Ukijaza akili yako nuru, utaiishi nuru.
Ukiwa na watu mwenye low energy mawimbi ya mtetemo yataivuta low energy kwako pia
Kila kitu kina energy halafu frequency ni njia ya kusafirisha hiyo energy kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine
Attena yako ikikaa kwenye Frequency sahihi itashika channels bila chenga utaona HD
Na kinyume chake ni hivyo hivyo.
Abuuabdillah ✍️
0744 883 353